Kwa Wanaume waliooa tu!

Kwa Wanaume waliooa tu!

cj21125

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2013
Posts
3,588
Reaction score
3,521
Ikiwa umeoa miaka kadhaa iliyopita na mkeo akazaa watoto kadhaa nawe kama baba ukawapatia mahitaji ya elimu, chakula, afya na malazi kama kawaida. Baadae kupitia DNA ukagundua sio watoto wako. Je utafanyaje? Utendelea kumtunza "mke wenu" na watoto?
 
Hebu taja sababu iliyopelekea hadi upime DNA...
 
Kama unaiamini DNA kuliko mkeo sasa si bora uioe hiyo DNA
 
Unakauka...maana amekusitiri; huna uwezo wa kumimbisha na jamii ikijua hiyo siri ni nourma...

Afu ukute una small house nayo ina mtoto...wote si wako te te te....ila kwa haisra unaamua kuishi na huyo mwenye 'mtoto wako' kabla ya kucheki nae DNA...
 
Wewe mwenyewe huyo baba yako uliyenae huenda siye.kama unabisha kapime nae DNA. loading error.......
 
Hapo chakufanya angalia umri wako pili umri wa hao watoto tatu bila kuongea kitu kajipime kama mbeguzako zipo vizuri au laa. Kisha tafuta wazee wenye hekma. kwa ushauri. Ingekuwa ivyo naona poa wakuu.
 
Ikiwa umeoa miaka kadhaa iliyopita na mkeo akazaa watoto kadhaa nawe kama baba ukawapatia mahitaji ya elimu, chakula, afya na malazi kama kawaida. Baadae kupitia DNA ukagundua sio watoto wako. Je utafanyaje? Utendelea kumtunza "mke wenu" na watoto?
Naona sina cha kusema kwani hayo majanga,Kuna jamaa mmoja mwanza nae alikua dungadunga akawa na watoto wengi tu siku ya siku akawazoa woote kaenda bugando kupima DNA results zilivyotoka ni watoto wawili tu out of eight ni wake akawaambia jamanii mrudi kwa mama zenu mimi msaada wangu umeishia hapa ilikua majanga,kwahiyo it is not the easy situation to decide
 
Mbona simple tu! itabidi ataje Baba wa kila mtoto na mahali alipo ili niwaambie watoto kwamba "mimi siyo Baba yenu mzazi nilikuwa nimejitolea kwa utu wema tu kuwalea" hapo sasa naanza kutiririka majina ya Baba zao na mahali walipo ili wakikua wawatafute then mke nampa Red card bila kumuangalia usoni nikiamini kuwa nilioa mke ambaye kiasili sikuumbiwa mimi!,OVER!!!
 
Back
Top Bottom