Kwa wanaume tu!

tatizo hizi nyumba
ndogo huwa na hasira kama
matumizi hayatoshelezi...
ukitoa matumizi ya uhakika
lazima zitamheshimu mkeo.
 
Hivi wa hivi bado wapo dunia hii? mbona mnaaibisha jinsia ya wanaume watu kama ninyi? A real husband admits pale anapokosea au kama si kukubali basi hukaa kimya kwa kuwa amekosea kweli.

Kupiga ni udhaifu wa hali ya juu... tena kwa kosa ulilolifanya?


wapo si ndo hivyo unawaona...
 
jamani nimechekesa sana eti mtizame nilivyomrembesha!!!natamani nyumba ndogo zote ziwe na viherehere kama huyu ili kutokomeza janga la small house.
 
And vice versa mkeo kanyolewa na jamaa tena kwa wax yaani km kidevu cha mtoto laiini hakuna hata nywele iliyodondokea halafu kimepakwa olive oil kinang'aa wale wote waliosema wataomba msamaha kwa wake zao sasa wao wataombwa msamaha na wake zao watasamehe?
 
And vice versa mkeo kanyolewa na jamaa tena kwa wax yaani km kidevu cha mtoto laiini hakuna hata nywele iliyodondokea halafu kimepakwa olive oil kinang'aa wale wote waliosema wataomba msamaha kwa wake zao sasa wao wataombwa msamaha na wake zao watasamehe?

walahi hapo naua mtu................... serious!!!!!!!! heri lawama kuliko fedheha.
 
huyo jamaa kweli malavidavi yalimkolea mpaka kukubali kurudi nyumbani kutoka nyumba ndogo na ushahidi mkubwa kaisi hicho.
 
Smallhouse ina ladha gani ni zaidi ya bighouse au kunanini kinatamanisha hadi uwe smallhouse au ulishinikizwa kuoa?unaomba msamaha mke anasamehe je mwanamke anachotamka ndicho anachomanisha au ndo itakuwa visa na visasi kwa kwenda mbele? NDOA haina nyumba ndogo wajemeni ni full vicheche tu kama hatuamini tusubiri siku tupo kwenye mawe ndo tutajua nn maana ya small house
 
walahi hapo naua mtu................... serious!!!!!!!! heri lawama kuliko fedheha.

AK,

Unaua kwa ajili ya nini? Hapo utakuwa unajitafutia kifungo cha maisha ua hukumu ya kifo. Kama huwezi kumsamehe basi tema mzigo tu.

Iwe kwa mwanamume au mwanamke, hili suala linatatulika kwa kutegemeana na mhusika. Unaweza kusamehe, kama kweli utakuwa na ushujaa huo au kuamua kuweka mpira kwapani. Hasira nyingine sitazaua matatizo zaidi.

Wife wangu yeye anasema katika hili lazima angeondoka na roho ya mtu. Hawezi kubebana na panya kwenye ndoo ya unga!
 
tatizo hizi nyumba
ndogo huwa na hasira kama
matumizi hayatoshelezi...
ukitoa matumizi ya uhakika
lazima zitamheshimu mkeo.


Hivi kweli mwanaume mzima na watoto umeacha nyumbani unawaza kwenda kuweka investment mahali pengine tena za kumwaga kisa! Na kwako unaacha kwa kiwango kilekile! Unamhonga mwanamke mwengine ili amheshimu mkeo! Kwanini wewe usiuheshimu huo mwili wako na kutoufedhehesha huko nje? Kama umheshimu mkeo hata umhonge vipi hawezi kukuheshimu wewe ndio maana anadhubutu kumpigia simu mkeo! Hata wewe hakuheshimu anaheshimu pesa yako
 
jamani nimechekesa sana eti mtizame nilivyomrembesha!!!natamani nyumba ndogo zote ziwe na viherehere kama huyu ili kutokomeza janga la small house.

We bafu la madume hili. Unapiga chabo kweupe hivi.
 
Jamani AK mpenzi so sisi ndo tuwe tunakubali fedheha na kuogopa lawama? Mbona ulishaanza kuniconvince na shule yako ya mahaba sasa unaharibu?

Mkuki huo. Kwa nguruwe ni poa.

Ila ukweli ni kuwa wanawake wengi wanategemewa kuwasamehe waume zao katika hali kama hii wakati mwanamke si rahisi kupata huo msamaha. Hata mume akimsamehe jamii haiwezi kukubali.
 
Hivi kweli mwanaume mzima na watoto umeacha nyumbani unawaza kwenda kuweka investment mahali pengine tena za kumwaga kisa! Na kwako unaacha kwa kiwango kilekile! Unamhonga mwanamke mwengine ili amheshimu mkeo! Kwanini wewe usiuheshimu huo mwili wako na kutoufedhehesha huko nje? Kama umheshimu mkeo hata umhonge vipi hawezi kukuheshimu wewe ndio maana anadhubutu kumpigia simu mkeo! Hata wewe hakuheshimu anaheshimu pesa yako

Kwa wanaume tu. Hamsomi jamani. Sasa hii tabia yenu tuiite vipi. Mbona sisi hatuji kitchen party.
 
unamwambia subiri nakuja unaingia chumbani unakata nywele za kichwani halafu unatoka umejifunga taulo na mkasi mkononi, akikukagua unamwambia nimenyoa sasa hivi na mav..i yapo chumbani twende ukaone ! Ushahidi tosha unaenda kuchekea ******!
 
Nilikuwa nasubiri wanawake waliokuwa wanatuchungulia humu waondoke ndio nimwage kaushauri. Hebu angalia vizuri washaondoka?

Yaap. Sasa sikia. Kwanza jifanye unashangaa, halafu vua nguo kweli, wakati akikutazama kwa kushangaa na kuanza kupanick na kupiga kelele, angua mzinga wa kilio bila kujali majirani watasikia wala nini.

Lia mpaka ashangae kilio badala ya alichokiona, halafu jifanye unashangaa vibaya mno unachokiona. Halafu piga kelele ''nimelogwa, mke wangu nimelogwa, huyu mwanamke alikuwa ananitaka muda mrefu nilipomkataa alinitishia kwamba angeniloga, nikadharau, mke wangu ameniloga. Alisema hata uume wangu ana uwezo wa kuuamisha. uuuuuwiiiii, nakufaaa'' Atazima fegi nakwambia, ataogopa majirani wasijesikia kinachoendelea. Halafu ishu lazima ife. Utasikia ''atanijua leo kuwa mi natokea desh desh desh, lazima niende kwa desh desh desh.''

Lakini baada ya hapo vunja uhusiano na huyo changu.
 
Wanawake wambea bana, yaani imewakereketa mpaka wamekuja kusoma na kukomenti, kiukweli hiyo mbona simpo, unamwambia kuwa kuna salon wananyoa kwa wax, kwa sbb umegundua ukitumia gillette unatoka vipele kwa hiyo huyo aliyemfahamisha ni mfanyakazi wa salon wanayonyoa kwa wax! Teh teheee,
 
ukweli unakuwa hivi, wanandoa huwa wanajisahau katika mambo madogomadogooo ambayo ndio yanajenga mapenzi. hilo ni fundisho. kama jamaa angekuwa na vinywele vichache huko chini huyo hawara angepata muda wa kumnyoa saa ngapi? wanawake ingieni humu msome mpate maujuzi. mjue kuwanyoa waume zenu ndevu, za kwapa, mavuzi, kung'arisha viatu, kupiga pasi nguo, kufua, kupika, n.k. wanawake wasipelekwe na upepo wa haki sawa. HAKUNA KITU KAMA HICHO! ukitaka haki sawa, hiyo nafasi uliyoiacha wazi ataichukua hawara aka nyumba ndogo.
 
Namwambia niling'atwa na mdudu gani sijui, nikakimbilia zahanati, ili kumtoa ikabidi waninyoe. Huyo ni yule nesi aliyeninyoa tu, mke wangu mbona hivyo ?? Bila kunyolewa leo jogoo hili lingekuwa limekufa, sijui tungeishi vipi. Halafu nakimbilia bafuni na kucheka kichini chini hahahahahahahaha !!!!!!!! Lakini msijaribu kuiga hili, shauri yenu.
 
Back
Top Bottom