Hivi wa hivi bado wapo dunia hii? mbona mnaaibisha jinsia ya wanaume watu kama ninyi? A real husband admits pale anapokosea au kama si kukubali basi hukaa kimya kwa kuwa amekosea kweli.
Kupiga ni udhaifu wa hali ya juu... tena kwa kosa ulilolifanya?
And vice versa mkeo kanyolewa na jamaa tena kwa wax yaani km kidevu cha mtoto laiini hakuna hata nywele iliyodondokea halafu kimepakwa olive oil kinang'aa wale wote waliosema wataomba msamaha kwa wake zao sasa wao wataombwa msamaha na wake zao watasamehe?
walahi hapo naua mtu................... serious!!!!!!!! heri lawama kuliko fedheha.
walahi hapo naua mtu................... serious!!!!!!!! heri lawama kuliko fedheha.
tatizo hizi nyumba
ndogo huwa na hasira kama
matumizi hayatoshelezi...
ukitoa matumizi ya uhakika
lazima zitamheshimu mkeo.
jamani nimechekesa sana eti mtizame nilivyomrembesha!!!natamani nyumba ndogo zote ziwe na viherehere kama huyu ili kutokomeza janga la small house.
Jamani AK mpenzi so sisi ndo tuwe tunakubali fedheha na kuogopa lawama? Mbona ulishaanza kuniconvince na shule yako ya mahaba sasa unaharibu?
Hivi kweli mwanaume mzima na watoto umeacha nyumbani unawaza kwenda kuweka investment mahali pengine tena za kumwaga kisa! Na kwako unaacha kwa kiwango kilekile! Unamhonga mwanamke mwengine ili amheshimu mkeo! Kwanini wewe usiuheshimu huo mwili wako na kutoufedhehesha huko nje? Kama umheshimu mkeo hata umhonge vipi hawezi kukuheshimu wewe ndio maana anadhubutu kumpigia simu mkeo! Hata wewe hakuheshimu anaheshimu pesa yako
Kwa wanaume tu. Hamsomi jamani. Sasa hii tabia yenu tuiite vipi. Mbona sisi hatuji kitchen party.