Ninja
JF-Expert Member
- Feb 5, 2010
- 361
- 722
Wanawake ni wepesi sana kuona mabadiliko madogo madogo, hapo hata simu isingepigwa lazima angeshtuka tu. Sisi midume, mamaa anaweza akanyolewa vile vile na usishtuke, hata upigiwe simu.
Hapa demu angekujia juu '' hivi wewe unataka kubreak up kijanja nini, mi mbona nimenyoa mwenyewe tangu jana, mwongo sana huyo aliyekupigia simu. Anataka tuachane anichukue yeye''
Hata kama kweli kanyolewa Dume haliwezi shtuka.
Demu anaweza akabadilisha misuko mitatu siku moja na Dume lisione tofauti. Mameni tunaona Reception, figure, Miguu, chuchuz, lips, lakini changes ni never.
Hii ingetokea kwa mwanamke labda mwanaume awe mkuria au mmasai, vinginevyo ishu ingeishia hapo hapo. ''Sijanyolewa, Nimejinyoa mwenyewe jana bafuni, si unakumbuka''
'' ndiyo mpenzi, samahani unajua tena wafitini'' mh mh.
Hapa demu angekujia juu '' hivi wewe unataka kubreak up kijanja nini, mi mbona nimenyoa mwenyewe tangu jana, mwongo sana huyo aliyekupigia simu. Anataka tuachane anichukue yeye''
Hata kama kweli kanyolewa Dume haliwezi shtuka.
Demu anaweza akabadilisha misuko mitatu siku moja na Dume lisione tofauti. Mameni tunaona Reception, figure, Miguu, chuchuz, lips, lakini changes ni never.
Hii ingetokea kwa mwanamke labda mwanaume awe mkuria au mmasai, vinginevyo ishu ingeishia hapo hapo. ''Sijanyolewa, Nimejinyoa mwenyewe jana bafuni, si unakumbuka''
'' ndiyo mpenzi, samahani unajua tena wafitini'' mh mh.