bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
Na Wewe tena - jamani! Anywayz pazia haina macho
hahaaaaaaaaaa mi sijasoma mada nawafata kondoo walopotelea huku
Lulu na MJ1
Na Wewe tena - jamani! Anywayz pazia haina macho
umehusikaje huku na wewe????????????
Utashangaaaaaaaaa
mh!!!!
mh!!!!
mh!!!!
Mimi nimefumba macho.
Mtanisamehe tu nimeingia ila nimefumba macho wajameni.
Duh huyo 'mwizi' mgomvi!! Mie ningekuwa mke ningemjibu
' Umetuharibia wenyewe twapenda viwanja vyenye majani, vipara vitatuumiza'
Halafu mume ntakusubiria kitandani usiku theni nakunyoa upya huku nikwambia kwa upole na mahaba mazito....
' Huyu amekunyoa vizuri ila hajamaliza vizizi, kwa hali hii zitaota kesho asubuhi ngoja nikusawazishe!!'
Eh kumbe waliulizwa wanaume!!
hahaaaaaaaaaa mi sijasoma mada nawafata kondoo walopotelea huku
Lulu na MJ1
Mimi nimefumba macho.
Nimefumba macho sioni kitu, kwani kunaendelea nini hapa? ngoja nichape lapa.
Nna wasiwasi hapo dah lazima ntajua tu mh huyu ckunyoa tu ataikata kabisaa kisha ampigie huyo shosti kuwa wewe ulinyoa mi nimekata kabsaa tuone utadumbukiza nn sasa! teh tehHalafu mume ntakusubiria kitandani usiku theni nakunyoa upya huku nikwambia kwa upole na mahaba mazito....
' Huyu amekunyoa vizuri ila hajamaliza vizizi, kwa hali hii zitaota kesho asubuhi ngoja nikusawazishe!!'
Nimefumba macho sioni kitu, kwani kunaendelea nini hapa? ngoja nichape lapa.
hapo baba enock ndo ujue watu siku hizi hawasikii, na kisha hawaoni!
Hii ni ya kweli na imetokea hivi:
Njemba imekwenda kwa hawara,katika malavidovi ikanyolewa nywele za chini.Akiwa njiani anaelekea nyumbani hawara kampigia simu Bi Mkubwa "haya sema sasa,hata kumnyoa mmeo mananihii hujui,anarudi huyo,angalia nilivyomrembesha kwenye nonino,eheee halo halo". Mzee mzima kuingia tu sebuleni mama uzalendo ukamshinda akaona hata asisubiri mzee aende bafuni ili amkague vizuri,kamdaka hapo hapo sebuleni, 'vua mme wangu,nakwambia vua hiyo suruali',mwanzoni jamaa alifikiri dhihaka lakini alivyocheki sura ya mamsap ikam click akajua hapa kimewaka! swali,mshikaji ungekuwa wewe hii soo ungeipangua vipi?
hiyo avanta yako imenikumbusha 14th february
anyways ndani ya mada - nadhani wanawake wengi ni wavivu wa kunyoa naniiii za waume/wenzi wao!
Hapo baba Enock ndo ujue watu siku hizi HAWASIKII, na kisha HAWAONI!
Nna wasiwasi hapo dah lazima ntajua tu mh huyu ckunyoa tu ataikata kabisaa kisha ampigie huyo shosti kuwa wewe ulinyoa mi nimekata kabsaa tuone utadumbukiza nn sasa! teh teh
Nna wasiwasi hapo dah lazima ntajua tu mh huyu ckunyoa tu ataikata kabisaa kisha ampigie huyo shosti kuwa wewe ulinyoa mi nimekata kabsaa tuone utadumbukiza nn sasa! teh teh
Wanaume je mnawanyoa wenzi wenu?
Ili lipate kutimia lile andiko - Pearl nikumbushe mstari wa ngapi vile...
not sure but pia naskia wanaume wote mwl wao kiziwi!!!!!!!
Mtanisamehe tu nimeingia ila nimefumba macho wajameni.
Duh huyo 'mwizi' mgomvi!! Mie ningekuwa mke ningemjibu
' Umetuharibia wenyewe twapenda viwanja vyenye majani, vipara vitatuumiza'
Halafu mume ntakusubiria kitandani usiku theni nakunyoa upya huku nikwambia kwa upole na mahaba mazito....
' Huyu amekunyoa vizuri ila hajamaliza vizizi, kwa hali hii zitaota kesho asubuhi ngoja nikusawazishe!!'
Eh kumbe waliulizwa wanaume!!
Kama hiyo itakutia shaka basi nitachukua poda nikwambie
'Baby huwe unamwambia akimaliza kukunyoa akupake poda au after shave lol usijepata vipele mpenzi wangu' taratibu nakupaka poda ah kisha navuta mto nalala. Peacefully.