sasa b, matwin mlikulia nyumba tofauti hadi wewe uwe mdogo na yeye pearl awe mkubwa? Hahahahahahaaa u r amazing me!
...nakunyoa upya huku nikwambia kwa upole na mahaba mazito....
' Huyu amekunyoa vizuri ila hajamaliza vizizi, kwa hali hii zitaota kesho asubuhi ngoja nikusawazishe!!'
hapo utamuua jamaa kwa pressure!!
Yy c otto mm kulwa!
umwinyi mwingine too much bana.Hiyo Avanta yako imenikumbusha 14th February
Anyways ndani ya mada - Nadhani wanawake wengi ni WAVIVU wa kunyoa naniiii za waume/wenzi wao!
so wewe ni 'mkubwa' kwa maana ya kutangulia kuzaliwa wakati wa delivery but kiumri si ni sawa jamani?
eeeh sasa yeye si alitangulia kuiona njiiso wewe ni 'mkubwa' kwa maana ya kutangulia kuzaliwa wakati wa delivery but kiumri si ni sawa jamani?
Actualy what happened jamaa alipoona timbwili limepamba moto alichomoka akaenda nje na kumpigia simu ya SOS Best Man na alimsubiri nje hadi alipofika.Baada ya kumweleza kisa kizima na kukiri kuwa kweli huko down ni kama baby aliyezaliwa leo basi Best Man akamshauri jamaa aingie mitini hadi ziote ili kuua ushahidi. Hadi tunavinjari leo kwenye JF njemba haijarudi nyumbani,ndugu wakimpigia simu anasema ana roam kwenye Celtel kwani yuko Nairobi,kwa marafiki anasema eti heri nusu ya shari kuliko shari kamili!
hahah sasa huu ufumbuzi mwingine bana....sasa akipotea si ndo itaonekana kabisa kuna kitu alikuwa anaficha!
Hii ni ya kweli na imetokea hivi:
Njemba imekwenda kwa hawara,katika malavidovi ikanyolewa nywele za chini.Akiwa njiani anaelekea nyumbani hawara kampigia simu Bi Mkubwa "haya sema sasa,hata kumnyoa mmeo mananihii hujui,anarudi huyo,angalia nilivyomrembesha kwenye nonino,eheee halo halo". Mzee mzima kuingia tu sebuleni mama uzalendo ukamshinda akaona hata asisubiri mzee aende bafuni ili amkague vizuri,kamdaka hapo hapo sebuleni, 'vua mme wangu,nakwambia vua hiyo suruali',mwanzoni jamaa alifikiri dhihaka lakini alivyocheki sura ya mamsap ikam click akajua hapa kimewaka! swali,mshikaji ungekuwa wewe hii soo ungeipangua vipi?
Labda kama utalala na sarawili yako!!Walahi nisingevua!
hahahahahaha!...hakuna ujanja zaidi ya kumwambia ni kweli ulipitia Salooni ila bahati mbaya hawana Wax!
Kwa hiyo simu imepigwa na mnyoaji wa saluni? Tutakwenda wote nami nikanyolewe huko!...hakuna ujanja zaidi ya kumwambia ni kweli ulipitia Salooni ila bahati mbaya hawana Wax!
subuthu mwanaume gani atakubali kuweka makende yake hewani kwa style hii ati unyolewe bi mkubwa anaweza ondoka na ma***bu plus ududu kwa ghadhabu! Unachezea wewe!? unahatari kijana!🙄 hapa cha kufanya kama mimi ningekimbia pindi ninapoambiwa nivue!Mtanisamehe tu nimeingia ila nimefumba macho wajameni.
Duh huyo 'mwizi' mgomvi!! Mie ningekuwa mke ningemjibu
' Umetuharibia wenyewe twapenda viwanja vyenye majani, vipara vitatuumiza'
Halafu mume ntakusubiria kitandani usiku theni nakunyoa upya huku nikwambia kwa upole na mahaba mazito....
' Huyu amekunyoa vizuri ila hajamaliza vizizi, kwa hali hii zitaota kesho asubuhi ngoja nikusawazishe!!'
Eh kumbe waliulizwa wanaume!!
Actualy what happened jamaa alipoona timbwili limepamba moto alichomoka akaenda nje na kumpigia simu ya SOS Best Man na alimsubiri nje hadi alipofika.Baada ya kumweleza kisa kizima na kukiri kuwa kweli huko down ni kama baby aliyezaliwa leo basi Best Man akamshauri jamaa aingie mitini hadi ziote ili kuua ushahidi. Hadi tunavinjari leo kwenye JF njemba haijarudi nyumbani,ndugu wakimpigia simu anasema ana roam kwenye Celtel kwani yuko Nairobi,kwa marafiki anasema eti heri nusu ya shari kuliko shari kamili!
Hiyo mimi ningeipangua vibaya sana,
Kwanza kosa la huyo Mkewe kumwambia avue sebuleni ni kosa ambalo lingenisaidia mimi.
Kwanza siku zote tunavulia nguo chumbani kwetu leo iweje nivulie sebuleni, Kwanza ningemchapa kibao kitakatifu akazindukia Hospitali.
Na ikawa ndio mwisho wake wa mzaha kama huo.
Mwanaume ni Mtawala hazihakiwi.