Wanaume wenzangu oyee! Shwari?
Naomba wanaume wenzangu mtambue tabia za dada zetu, wake zetu na mama zetu.
Katika kila siku tatu mpaka tano katika mwezi dada zetu, wake zetu na mama zetu huwa wanapatwa na uchizi. Kwa hiyo siyo kila jibu baya litokalo kwao likuumize na pengine likufanya uchukie na kumdhuru. Tuwe na huruma kwa sababu mungu ndio alivyo umba.
Wanaume oyee!
Onyesha mfano katika jamii ya kuwaheshimu wanawake.
Jukumu letu ni kuwapenda sana wake zetu
Asanteni
Tena huwa nakutafuta sana nikunyanyase weye...hapa nishakuundia zengwe, shem lazima uhame pale nyumbani.
mkuu ongeza dozi!!!Mfano wanaume wakitoka mbele wewe utatoka. Au anakuambia wewe mwanaume suruali tu.
jamani shem usinifanyie hivyo!! ntaenda kuishi wapi sasa! nivumilieni tu.
Wanaume wenzangu oyee! Shwari?
Naomba wanaume wenzangu mtambue tabia za dada zetu, wake zetu na mama zetu.
Katika kila siku tatu mpaka tano katika mwezi dada zetu, wake zetu na mama zetu huwa wanapatwa na uchizi. Kwa hiyo siyo kila jibu baya litokalo kwao likuumize na pengine likufanya uchukie na kumdhuru. Tuwe na huruma kwa sababu mungu ndio alivyo umba.
Wanaume oyee!
Onyesha mfano katika jamii ya kuwaheshimu wanawake.
Jukumu letu ni kuwapenda sana wake zetu
Asanteni
Mkuu kwamtoro .. Kwa mantiki hyo nafikiri wanaume nao wana siku yao moja katika kila mwezi ya kuwa machizi.
Na katika mwezi huu .. Uchizi wako umeangukia leo.
Kwa hyo yatupasa sana kuwa makini na wewe leo hii.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Wanaume wenzangu oyee! Shwari?
Naomba wanaume wenzangu mtambue tabia za dada zetu, wake zetu na mama zetu.
Katika kila siku tatu mpaka tano katika mwezi dada zetu, wake zetu na mama zetu huwa wanapatwa na uchizi. Kwa hiyo siyo kila jibu baya litokalo kwao likuumize na pengine likufanya uchukie na kumdhuru. Tuwe na huruma kwa sababu mungu ndio alivyo umba.
Wanaume oyee!
Onyesha mfano katika jamii ya kuwaheshimu wanawake.
Jukumu letu ni kuwapenda sana wake zetu
Asanteni
Halafu kuna ile kazi ya kuwa Mkurugenzi kwa miezi 9...
ni kama inawarudi maana kutwa kucha ninyi wenyewe hamwishi kusakamana,ni kama alivyosema kongoshowanawake tumeumbwa manyanyaso na kusakamwa.
mkuu unakuwa kama ndugu lawama hukawii kumwambia anajaza chooTena huwa nakutafuta sana nikunyanyase weye...hapa nishakuundia zengwe, shem lazima uhame pale nyumbani.