Mtumiabusara
JF-Expert Member
- Nov 18, 2009
- 473
- 40
its a waste of time
let them understand us men
that will be enough
View attachment 31422
hiki ni kitabu cha kusoma kurasa zote if a men want to understand a woman
hatuna Formula
hakuna kitabu kitakachoweza
kueleza tulivyo hata siku moja
sana sana mtajaribu tu ....
samahani upande wa pili...
formula ipo wewe, kwanza lazima udanganywe na kusifiwa then ndo unalainika.
mtu akikwambia ukweli itakula kwake, hivyo lazima akudanganye danganye
na wewe kujiona hakuna aliye zaidi yako... just check mwanamke anavyobembelezwa
kabla ya gemu, but wakisha ku undress men anakuwa mbogo, no kubembeleza wala nini.
tehetehe... nimekumbuka lile tangazo la haki elimu (.....unajua mi nakupenda.....sidanganyiki...)
formula ipo wewe, kwanza lazima udanganywe na kusifiwa then ndo unalainika.
mtu akikwambia ukweli itakula kwake, hivyo lazima akudanganye danganye
na wewe kujiona hakuna aliye zaidi yako... just check mwanamke anavyobembelezwa
kabla ya gemu, but wakisha ku undress men anakuwa mbogo, no kubembeleza wala nini.
tehetehe... nimekumbuka lile tangazo la haki elimu (.....unajua mi nakupenda.....sidanganyiki...)
View attachment 31422
hiki ni kitabu cha kusoma kurasa zote if a men want to understand a woman
its a waste of time
let them understand us men
that will be enough