Kwa wanaume tu walio oa

Nakuunga mkono sana kama kuna mambo au vitu havieleweki ni mapenzi ya aina yoyote iwe ya ndoa au michepuko hayana kanuni maalum ya kufuata bali akili yako kumkichwa unaweza kufanya kitu au jambo ambalo mwenzako au rafiki yako kafanya kwa mpenz wake nawe ukalifanya na ykaambulia matatizo kama si maumivu hata kiachana milele
Havina formula ni naturally gifted ndoa kudumu
 
sabuwanka,

Kwa hiyo hata mke inabidi awe na mchepuko ili kuweka mambo sawa??

Nijuavyo mimi kwa umri mdogo na uzoefu mdogo nilionao, mchepuko sio suluhisho la matatizo yako ya ndoa na badala yake wakati mwingine hugeuka kuwa sehemu ya tatizo lenyewe la ndoa.
 
Kwa hiyo hata mke inabidi awe na mchepuko ili kuweka mambo sawa??

Nijuavyo mimi kwa umri mdogo na uzoefu mdogo nilionao, mchepuko sio suluhisho la matatizo yako ya ndoa na badala yake wakati mwingine hugeuka kuwa sehemu ya tatizo lenyewe la ndoa.
Asante
 
Mimi nakataa, sio sawa!! Wanandoa wana wajibu wa kusort out tofauti zao na kutengeneza amani kwenye familia yao. Kutoka nje ya ndoa my dear wala sio suluhu ya matatizo yenu sanasana mtajikuta mnazua matatizo makubwa.
 
Mimi nakataa, sio sawa!! Wanandoa wana wajibu wa kusort out tofauti zao na kutengeneza amani kwenye familia yao. Kutoka nje ya ndoa my dear wala sio suluhu ya matatizo yenu sanasana mtajikuta mnazua matatizo makubwa.
Kama mwenza anaridhia utulivu ni sawa
Ila kama ni certified msaliti u need to find ways to stay happy and married as well
 
Hili neno buys limekuwa likinichanganya mpaka nilipoona watoto na smartphone ndo nikaelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nakataa, sio sawa!! Wanandoa wana wajibu wa kusort out tofauti zao na kutengeneza amani kwenye familia yao. Kutoka nje ya ndoa my dear wala sio suluhu ya matatizo yenu sanasana mtajikuta mnazua matatizo makubwa.
Mchango mulua
 
Hawa watu ni muhimu sana kiasi kuwaita NYUMBA NDOGO au MCHEPUKO ni unyanyasaji wa jinsia, matumizi mabaya ya Lugha na ukosefu wa kuthamini utu wa mtu. Hawa ni NYUMBA YA MATUMAINI!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…