Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,185
- 7,491
mara nyingi wanaume wenzangu wemekua wakileta thread wakilalamika humu mara oooh! napigwa sana mizinga! mara tumejuana jana tu leo anataka nimtumie laki mbili, mara ooh! jana tu nimempa 50, leo tena anataka 100k, mara nimempa 20, anasema hazitoshi nimpe laki mbili na ndio tumejuana leo leo N.k.
Any way mimi sina shida na wapiga mizinga wala watoaji. Ninachowaasa wanaume wanaotoa kwa hiari au kupigwa vizinga ni kwamba waache kulialia bila vielelezo, watakuja gutuka ilishakula kwao! haya!
Ni hivi: "kila ukitoa kiasi chochote cha hela kwa malengo yoyote yale Omba risiti yako! " (na hakikisha risiti yako inaeleza kuwa umetoa kwa ajili ya nini na kiasi gani) hii itakusaidia kwanza kujua kiasi cha hela unachotumia kwenye ishu husika lakini pia kubaki na kumbukumbu kwa ajili ya matumizi mengine na hata mtu akija kulialia humu atakuwa na ushahidi badala ya maneno matupu.Hili pia nadhani litapunguza malalamiko maana ni ajabu kutoa pesa bila kujua hasa unatoa pesa kwa ajili ya nini? halafu baadae unalalamika sijui unalalamika nini!
Any way mimi sina shida na wapiga mizinga wala watoaji. Ninachowaasa wanaume wanaotoa kwa hiari au kupigwa vizinga ni kwamba waache kulialia bila vielelezo, watakuja gutuka ilishakula kwao! haya!
Ni hivi: "kila ukitoa kiasi chochote cha hela kwa malengo yoyote yale Omba risiti yako! " (na hakikisha risiti yako inaeleza kuwa umetoa kwa ajili ya nini na kiasi gani) hii itakusaidia kwanza kujua kiasi cha hela unachotumia kwenye ishu husika lakini pia kubaki na kumbukumbu kwa ajili ya matumizi mengine na hata mtu akija kulialia humu atakuwa na ushahidi badala ya maneno matupu.Hili pia nadhani litapunguza malalamiko maana ni ajabu kutoa pesa bila kujua hasa unatoa pesa kwa ajili ya nini? halafu baadae unalalamika sijui unalalamika nini!