Kwa Wanaume tu: Tunapoamua Kujenga Nyumba Ndogo

SL mpendwa sikurupuki...sasa hapo kauli sifuti nasubiri tume....kesi ya Nyani kupeleka kwa ngedere....lol
Khaaa! Umejibu kwa kujiamini mpaka raha! ODM atakuwa na kesi ya kujibu...lol... Itabidi tume iundwe as soon as posible!
 
nyumba ndogo haipewi talaka.....
Hommie habari za ujenzi....

Hommie RR nimeshamaliza ila kuna simenti imebaki kidogo na makenchi vipi nikupasie kidogo?
 
Last edited by a moderator:
Wakuu

Tukumbushane tu kuwa kwa wale wazoefu wa hapa MMU...kumekuwa na mijadala mirefu na mizito kuhusu nyumba kubwa na ndogo, kwa nini wanaume na wanawake wanapenda differently, na ni kwa nini mapenzi huwa yanapaswa kufuata mkondo, let alone dhana ya 'ulinzi wa penzi'

Kuna vitu tumekubaliana kimsingi katika kutokukubaliana japo wengine tumekubaliana kwamba dhana ya nyumba ndogo ipo na itaendelea kuwepo na ilikuwepo,...mifano ipo....hapa sitaki niwe subjective hata kidogo

So...sisi kama wanaume....inapokuwa sasa okay ngoja nijenge "nyumba ndogo"...ni vitu gani hasa unakuwa unaangalia?
  • Je, nyumba yenyewe inakuwa 'ndogo' in the real sense ya neno lenyewe? (lets say kiumbo?)
  • trend iko vipi, zonazokuwa preferred ni zile tulizopishana nazo umri sana, (lets say 10 years), tulio sawa au waliotupita? au havihusiani kabisa?
Ambacho ningependa hasa tufikia muafaka ni kwa nini ziliitwa 'nyumba ndogo'?

Kingine...ni wakati gani hasa nyumba inakuwa rasmi nyumba ndogo.....kutofautisha na a one nite stand lets say....au kafling ka siku mbili...ni mwaka? mwezi? au wiki? au material investments? factors zipi zinadetermine kuwa ''sasa hii ni nyumba ndogo'" kwa mtizamo wa kijamii?
Karibuni tushee maexperience hapa......

wakati nyie TMK mnajadili vyama pinzani humu siye nyumba kubwa ngoja tukapike chapati za kitabu zenye pilipili manga na nyama ya mbuzi itakayookwa ikiwa kwenye foil iliyokuwa marinated kwa soy sauce,tangawiz,kitunguu swaumu,hajiramoto na mtindi,kisha tukimaliza tutapika chai ya maziwa yenye hiliki na tangawizi halafu tutaisave kwenye vile vyombo maalum,kisha tukoge na kujitia wanja na podari plus uturi wa Lamu shingoni na kuisave hiyo chai chumbaaaaaaaaaaaani!
 
Hommie RR nimeshamaliza ila kuna simenti imebaki kidogo na makenchi vipi nikupasie kidogo?


Usije ukawa unajisifia umemaliza kujenga kumbe ubora chini ya kiwango; then uanze tena kupimisha cement... lol mie naona usimgaie RR bora tu weka akiba stoo.
 
wakati nyie TMK mnajadili vyama pinzani humu siye nyumba kubwa ngoja tukapike chapati za kitabu zenye pilipili manga na nyama ya mbuzi itakayookwa ikiwa kwenye foil iliyokuwa marinated kwa soy sauce,tangawiz,kitunguu swaumu,hajiramoto na mtindi,kisha tukimaliza tutapika chai ya maziwa yenye hiliki na tangawizi halafu tutaisave kwenye vile vyombo maalum,kisha tukoge na kujitia wanja na podari plus uturi wa Lamu shingoni na kuisave hiyo chai chumbaaaaaaaaaaaani!

wow snowhite thats rite on hiyo menu imekaa vizuuuri kabisa..... nitarudi tu lazima kuja kula chapati, chai, na vyengine, chumbaniiiii kama kawaida. Ukifanya yote haya lazima uwe rewarded accordingly
 
Last edited by a moderator:
Usije ukawa unajisifia umemaliza kujenga kumbe ubora chini ya kiwango; then uanze tena kupimisha cement... lol mie naona usimgaie RR bora tu weka akiba stoo.

My wife unajua siwezi jenga nyumba 'ndogo' chini ya kiwango je ntaweka wapi sura yangu mbele yako utaikubali ya sub standard kweli? najua huwezi kubali kitu cha namna hiyo
 
Back
Top Bottom