daah mama ni kweli kabisa wanatofauti. mfano wa maembe yote ni maembe lakini mengine yana nyuzi mengine makali na mengine kama unakula epple ila yote ni maembe.
utamu wa mwanamke ye mwenyewe ajijue kuwa ni mtamu
utamu wa mwanamke ajue kujiunga zaidi ya utamu aliojaliwa na muumba
utamu wa mwanamke upate mwanaume anayejua kuwa mwanamke aliyenaye ni mtamu
utamu wa mwanamke upate mwanaume anayejua kula vitamu!
wanawake nao wako kimakundi kama watajiweka safi na kuvutia ni sawa nikiwalinganisha na
Mchele uliopikwa ukawa wa
maji
bokoboko
uji
Biriani
Pilau
pepeta
kwa hiyo inategemea amekuandaliaje huo mchele kwani unafanana na pia km hata ni Biriani akagoma kukaribisha utapiga kijiko kimoja na kukinai sio kuridhika