Kwa wanaume hivi vitatu ni unkwekabo!

Kwa wanaume hivi vitatu ni unkwekabo!

holygrail

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2012
Posts
1,303
Reaction score
597
maisha ya wanaume ni ya ajabu sana.wanaume wana tabia mbalimbali but kuna vitu vitatu ambavyo kila mwanaume lazma ataangukia hapo. Kuna kitu kinaitwa ADDICTION. Kwa tafsiri isiyo rasmi addiction ni utegemez wa jambo fulani ambalo humfanya mtu awe kama zoba kila anapofanya jambo hilo pasipokuwa na nguvu ya kuacha kufanya. Wanaume wako addicted na
1.POMBE
2.SIGARA
3.WANAWAKE
Hakuna mwanaume yoyote duniani ambaye anaweza kutoka nje ya hapo.
 
maisha ya wanaume ni ya ajabu sana.wanaume wana tabia mbalimbali but kuna vitu vitatu ambavyo kila mwanaume lazma ataangukia hapo. Kuna kitu kinaitwa ADDICTION. Kwa tafsiri isiyo rasmi addiction ni utegemez wa jambo fulani ambalo humfanya mtu awe kama zoba kila anapofanya jambo hilo pasipokuwa na nguvu ya kuacha kufanya. Wanaume wako addicted na
1.POMBE
2.SIGARA
3.WANAWAKE
Hakuna mwanaume yoyote duniani ambaye anaweza kutoka nje ya hapo.

Its amazing am in mase with you,i just cant crack the code,one day you screaming you love me laud the next ur soo cold ,one day you hereee ,one day you there, its so unfair ,sipping from the cup till the Runeth is over HOLYGRAIL
 
maisha ya wanaume ni ya ajabu sana.wanaume wana tabia mbalimbali but kuna vitu vitatu ambavyo kila mwanaume lazma ataangukia hapo. Kuna kitu kinaitwa ADDICTION. Kwa tafsiri isiyo rasmi addiction ni utegemez wa jambo fulani ambalo humfanya mtu awe kama zoba kila anapofanya jambo hilo pasipokuwa na nguvu ya kuacha kufanya. Wanaume wako addicted na
1.POMBE
2.SIGARA
3.WANAWAKE
Hakuna mwanaume yoyote duniani ambaye anaweza kutoka nje ya hapo.

No research no right to speak! Si kweli I don't drink, smoke neither a womaniser! Thts why nabisha 120%
 
Its amazing am in mase with you,i just cant crack the code,one day you screaming you love me laud the next ur soo cold ,one day you hereee ,one day you there, its so unfair ,sipping from the cup till the Runeth is over HOLYGRAIL

hahahah...yeah meen!..magna carter...holy grail
 
Aisee ni kweli, mimi ni bonge la womaniser!!!!!! Nampenda sana mai waifu tu be....!!!!!:frusty:
 
Afu edit hyo tittle yako ulitaka kusema unkwepabo au hcho ni kichina??
 
mi na wasiwasi na hicho ulichokipost pengine ilisikia watu wanapiga story nawe ukakibeba kama kilivyo,embu fanya utafiti kwanza alafu urudi tena.
 
Back
Top Bottom