Kwa wanaosumbuliwa na nguvu za kiume

Kwa wanaosumbuliwa na nguvu za kiume

Mwaka jana nilipost hapa kuhusiana na rafki yangu aliepata ajali na kupoteza nguvu za kiume,kupelakea ndoa yake kutaka kuvunjika,sote tunaelewa kwmba waganga weng siku hizi ni waongo,tulienda kwa mtaalamu mmoja handeni akatupatia dawa imemsaidia jamaa ndoa yake imenusurika na mke wake ana mimba ya miezi saba anafuraha na amani anaendelea na shughuli zake kama kawaida najua ni tatizo la wengi na nina nia ya kusaidia tu na sio vinginevyo,kama we ni mmoja wapo ni PM nijue namna gani naweza kukusaidia hata kama upo mbali.

Mwisho wa kuwasilisha.

Biashara matangazo
 
sidhani kama kuna dawa ya kuongeza nguvu za kiume bali kuchaji tu kwa muda, wanaume wenzangu kama una tatizo hilo tiba mbadala ni kama ifuatavyo
1.fanya mazoezi sana
2.kunywa maji kwa wingi
3.kula sana matunda na mboga mboga na punguza vyakula vya mafuta kwani kuacha haiwezekani
4.punguza unywaji wa pombe

baada ya mwezi mmoja tu ukifanya hayo kwa usiriaz utaniambia
 
Naaaaaammmm

Dah hadi nakuonea huruma maana swala nakuona kila SAA unalitolea la moyoni linakuumiza sna tatzo sisi watt wakiume pia kunamda sio wawaz kwa wapenz wetu lilishawahi nitokea sitaki hata kukumbuka maana ndo ilikuwa Siku ya kwanza na yule demu sema nikafanya mambo likaisha jaribu kumsaidia bby ikishindikana mwambie atumie vigora ila akapime pressure kwanza
 
Dah hadi nakuonea huruma maana swala nakuona kila SAA unalitolea la moyoni linakuumiza sna tatzo sisi watt wakiume pia kunamda sio wawaz kwa wapenz wetu lilishawahi nitokea sitaki hata kukumbuka maana ndo ilikuwa Siku ya kwanza na yule demu sema nikafanya mambo likaisha jaribu kumsaidia bby ikishindikana mwambie atumie vigora ila akapime pressure kwanza

Mbona nahisi hata wewe una upungufu?
 
Mbona nahisi hata wewe una upungufu?
Kwann unasema hvyo?Sna hilo tatzo ila nshawahi lipata temporary ilikuwa ni simple importence nlikuwa kwakina kanjibahi
Maana nliondoka tz mzma napga fresh nkaakaa mwaka nahis ilitokana na vyakula coz ilikuwa pure vegeterian siku ya kurud imenichukua kama wiki mbili kukaa sawa tatzo inategemea imesababishwa na nini maana kuna mazoezi vyakula mawazo porno na punyeto,punyeto kama ushakuwa addicted ndo kupona ishu
 
Mwaka jana nilipost hapa kuhusiana na rafki yangu aliepata ajali na kupoteza nguvu za kiume, kupelakea ndoa yake kutaka kuvunjika, sote tunaelewa kwmba waganga weng siku hizi ni waongo, tulienda kwa mtaalamu mmoja handeni akatupatia dawa imemsaidia jamaa ndoa yake imenusurika na mke wake ana mimba ya miezi saba anafuraha na amani anaendelea na shughuli zake kama kawaida najua ni tatizo la wengi na nina nia ya kusaidia tu na sio vinginevyo, kama we ni mmoja wapo ni PM nijue namna gani naweza kukusaidia hata kama upo mbali.

Mwisho wa kuwasilisha.
Wap iyo bro
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom