Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,908
- 7,751
Wengine huuliza umempikia mtoto uji na hiyo ni saa sita mchana,halafu sinzia kidogo baadaye simu tena baba John kesharudi,usingizi akiamuka kwani uko wapi saa hizi uwahi kurudi nyumbani,usingizi tena akiamuka nimekumiss mume wangu natamani nirudi leo leo,papo hapo anapiga kwenye kidumu kingine kesho nakuja nikufumanie ole nimkute mtu mwingine nitamung'oa kucha ,usingizi tena,akiamuka charge imeisha ,utasikia kaka samahani naomba simu niwajulishe kuwa nipo karibu Makandana waje kunipokea ,ukisafiri kuna burudani tosha
Hahahahaaa....