Babu mchumi
Member
- Jul 5, 2011
- 62
- 11
Habari zenu tha great thinkes!
Naomba wanaifaham vizuri kampuni ya GNLD wanieleweshe kama ni kweli inawasaidia members wake,kwani kwa sasa kumekua na ushawishi mkubwa kwa watu ili wajiunge nayo,ninaomba ni ufafanuzi zaidi kwani hata mimi nimepigiwa simu kushawishiwa kujiunga!
Naomba wanaifaham vizuri kampuni ya GNLD wanieleweshe kama ni kweli inawasaidia members wake,kwani kwa sasa kumekua na ushawishi mkubwa kwa watu ili wajiunge nayo,ninaomba ni ufafanuzi zaidi kwani hata mimi nimepigiwa simu kushawishiwa kujiunga!