Mwenzenu nimeanzisha biashara ya mayai ya kienyeji toka Singida, ndio kwaanza natafuta soko, trey moja 12,000/= kwa wanao hitaji 0783 555603 au kama unaushari juu ya biashara hii wa weza nisaidia ili nisonge mbele kwani nimeleta kwa mara ya 3 sasa.
Ndugu yangu Ureni, uliniambia kuwa unaweza kuniuzia mayai ya kienyeji vipi mbona kimya? nilikuuliza kuku wako sio chotara?
kuna dada anauza ya kienyeji kwa elfu 10 trei moja,kuku wa kienyeji sio chotara