Twalb zubeir
Senior Member
- Feb 23, 2015
- 143
- 51
Only lowassa 2⃣0⃣1⃣5⃣.
Uongozi wa only lowassa umemaliza kikao chake kilicho chukua zaidi ya masaa manne, kilicho kuwa na agenda kuu mbili:-
1-safari ya matuimani
2-flana kwa wajumbe
katika agenda hizo wajumbe walitumia masaa yao yote kujadili ni namna gani wana group watakwenda kuweka historia mpya siku ya tarehe 30/05/2015 jijini arusha,
hivyo,wajumbe wamefikia muafaka kuchukua costa special itakayo ondoka dar es salaam hadi arusha, usafiri ambao unategemewa kuchukua wapenzi na marafiki wa only lowassa katika mikoa ya dar es salaam, pwani na tanga. Kwa wale waliopo katika mikoa jirani, ya hiyo iliyo tajwa wanaweza kufika mikoa hiyo na kupata usafiri. Kinachotakiwa ni kuwasiliana na cordinator wa mkoa husika ili kuwa nae pamoja.
Wajumbe pia wanaruhusiwa kuja na wapenzi wa lowassa siku hiyo kwa utaratibu huo huo ulio elezwa hapo juu.
Gharama:-
wajumbe wamependekeza kwa kina na umakini,kuwa kila atakaye enda na ni mpenzi aliye tayari kuchangia sh. 50000/= ya usafiri wa kwenda na kurudi, na kwa wale wasio hudhuria kwa sababu mbali mbali wameombwa kuchangia sh.10000/= ili kusaidia mahitaji ya wasafiri.
Usafiri wa gari ni :- 1800000 kwenda na kurudi,
basi linachukua abiria 27.
Hivyo hata wakienda watu 27 kwa sh.50000/= kila mmoja bado haitakidhi hitaji lengo,
*hivyo kwa umoja wetu tujitokeze kwa wingi,
*tuchangie kama hatuendi,
*tuhamasishe ndugu,jamaa na marafiki kuwa nasi pamoja.
Tunafanya hivi kwa mapenzi yetu, mungu wetu na taifa letu.
Michango yote yawasilishwe kwa mshika fedha wa only lowassa kwa namba zifuatazo:-
tigo pesa-0713641124
voda m pesa- 0758092400.
Jina la namba zote ni�� erica stambuli
angalizo❗: munaombwa kupiga simu kwanza kwa anaye pokea pesa ili kuweka kumbukumbu sawa.
Nb: mwisho wa michango ni ijumaa hii saa saba kamili mchana.
Kwa maelezo zaidi wasiliana na uongozi..
Wako,
head admin.
Hajji nyanya.
+255673786848( hotline )
+255799055505( whatsap )
Naomba kuwasilisha, na kutoa hoja maadhimio ya uongozi na cordinators wa only lowassa.
Chini ya kikao cha tarehe 26/05/2015.
Asanteni.
Uongozi wa only lowassa umemaliza kikao chake kilicho chukua zaidi ya masaa manne, kilicho kuwa na agenda kuu mbili:-
1-safari ya matuimani
2-flana kwa wajumbe
katika agenda hizo wajumbe walitumia masaa yao yote kujadili ni namna gani wana group watakwenda kuweka historia mpya siku ya tarehe 30/05/2015 jijini arusha,
hivyo,wajumbe wamefikia muafaka kuchukua costa special itakayo ondoka dar es salaam hadi arusha, usafiri ambao unategemewa kuchukua wapenzi na marafiki wa only lowassa katika mikoa ya dar es salaam, pwani na tanga. Kwa wale waliopo katika mikoa jirani, ya hiyo iliyo tajwa wanaweza kufika mikoa hiyo na kupata usafiri. Kinachotakiwa ni kuwasiliana na cordinator wa mkoa husika ili kuwa nae pamoja.
Wajumbe pia wanaruhusiwa kuja na wapenzi wa lowassa siku hiyo kwa utaratibu huo huo ulio elezwa hapo juu.
Gharama:-
wajumbe wamependekeza kwa kina na umakini,kuwa kila atakaye enda na ni mpenzi aliye tayari kuchangia sh. 50000/= ya usafiri wa kwenda na kurudi, na kwa wale wasio hudhuria kwa sababu mbali mbali wameombwa kuchangia sh.10000/= ili kusaidia mahitaji ya wasafiri.
Usafiri wa gari ni :- 1800000 kwenda na kurudi,
basi linachukua abiria 27.
Hivyo hata wakienda watu 27 kwa sh.50000/= kila mmoja bado haitakidhi hitaji lengo,
*hivyo kwa umoja wetu tujitokeze kwa wingi,
*tuchangie kama hatuendi,
*tuhamasishe ndugu,jamaa na marafiki kuwa nasi pamoja.
Tunafanya hivi kwa mapenzi yetu, mungu wetu na taifa letu.
Michango yote yawasilishwe kwa mshika fedha wa only lowassa kwa namba zifuatazo:-
tigo pesa-0713641124
voda m pesa- 0758092400.
Jina la namba zote ni�� erica stambuli
angalizo❗: munaombwa kupiga simu kwanza kwa anaye pokea pesa ili kuweka kumbukumbu sawa.
Nb: mwisho wa michango ni ijumaa hii saa saba kamili mchana.
Kwa maelezo zaidi wasiliana na uongozi..
Wako,
head admin.
Hajji nyanya.
+255673786848( hotline )
+255799055505( whatsap )
Naomba kuwasilisha, na kutoa hoja maadhimio ya uongozi na cordinators wa only lowassa.
Chini ya kikao cha tarehe 26/05/2015.
Asanteni.