Kwa wanaohitaji kujiunga nasi Only Lowassa

Kwa wanaohitaji kujiunga nasi Only Lowassa

Team Lowasa mnaweweseka sana


Ameshatoswa labda mnaenda kumlia nyama za bure


Psychologically jiandaeni sana

Atazimia na strock yaaani ccm ikubugi ikimchagua lowassa ndio basi tena kitawekwa paleee makumbusho.
 
Safi lowasa ni kiongozi mwenye uwezo mkubwa kuiongoza nchi hii tunamuitaji ili atutoe tongotongo kwenye macho yetu
 
Safi lowasa ni kiongozi mwenye uwezo mkubwa kuiongoza nchi hii tunamuitaji ili atutoe tongotongo kwenye macho yetu ELIMU KWANZA VIVA LOWASA
 
Tutaendelea kuishi kwa matumaini mpaka lini? Mi nilidhani ni safari ya ukombozi.
 
Jamani jamani maskini nchi yangu tz
 
Wizi Mtupu,Labda hiyo namba ingekuwa ya Bashe au serukamba ningechanga.
 
Mbona Lowasa anatumia nguvu nyingi sana kutaka kwenda ikulu?anataka kwenda kufanya nini huko ikulu.
CCM lazima mtambue ikulu siyo pango la mafisadi
CCM lazima mtambue ikulu siyo wodi ya wagonjwa.
Safari ya matumini itaishia kwenye safari ya huzuni kabla 12.06.2015
VOTE FOR UKAWA.

Unataka kusemaje bosi?
 
Safari hii hatudanganyiki na kauli za kutupumbaza.Tunataka mabadiliko ya kweli mwaka huu
 
Kila jambo lazima liwe na malipo, (return). Sasa hawa wapenzi wanapata au wanatarajia kupata kitu gani hapo baadae? Ingekuwa soka ningeelewa.
 
Hii ni njia nyingine ya kupiga hela??Mjini kweli ukija na jembe unalima Rami.
 
Hiki kituko kingine tena , sasa hapa ni Jukwaa la Siasa wewe unapitisha bakuli wakati Lowassa ameshakodi mabasi 12 kwa ajili ya kusomba watu kutoka dar kwenda Arusha baada ya kuona hatapata watu wa kutosha Arusha .....

Hatapata watu arusha..!? arusha ipi unayozungumzia wewe? hapatoshi hiyo siku kwa watu wa a town peke yake wacha watakaokuja kutoka mikoani naamini kabisa na wewe ni mmoja wao, twende lowassa twendeeee..!!
 
Duuu Na kweli unaonekana una tongo tongo ndiyo maana unakwenda tu kama kondoo
 
Back
Top Bottom