Habari zen wana jf.
Wadau naulizia kwa yeyote mwenye kuzijua kampuni zinazohusika na shughuli za minara hapa Dar tukajaribu bahati yetu, huwa nasikia wanachukua sana watu kwenda katika site ila tatizo hadi upate data au uwe na mtu huko.
Itakua vizuri kama mtu atataja kampuni zaid ya moja au tarifa ya kampuni husika kama wanahitaji watu. Nina shahada ya mawasiliano (BSc. Telecommunication Eng).
Tusaidiane wadua maisha yanabana najua wapo watakaosema ujiajiri nao vizuri wakaweka mawazo yao kwani najua wengi watafaidika hapa ila wakumbuke mtaji tatizo na kupata mikopo siku hizi masharti yanafika mbinguni.
Natakuliza shukrani kwako mdau.
Wadau naulizia kwa yeyote mwenye kuzijua kampuni zinazohusika na shughuli za minara hapa Dar tukajaribu bahati yetu, huwa nasikia wanachukua sana watu kwenda katika site ila tatizo hadi upate data au uwe na mtu huko.
Itakua vizuri kama mtu atataja kampuni zaid ya moja au tarifa ya kampuni husika kama wanahitaji watu. Nina shahada ya mawasiliano (BSc. Telecommunication Eng).
Tusaidiane wadua maisha yanabana najua wapo watakaosema ujiajiri nao vizuri wakaweka mawazo yao kwani najua wengi watafaidika hapa ila wakumbuke mtaji tatizo na kupata mikopo siku hizi masharti yanafika mbinguni.
Natakuliza shukrani kwako mdau.