Ukisoma bible unatakiwa kuomba msaada wa roho mtakatifu,anyweiz nisiingie huko sana but kuna sababu nyingi,Mume wangu ananiita jina langu alwaz,na mm namuita BBY,tatizo lilikuja mtoto we2 alipokuwa mdogo nae akawa anamuita babake BBY,so ikabidi nibadilishe ili kumfundisha mtoto,so nikaanza kumuita mume wangu,DADDY.