Kwa wanacdm tu - ole kisambu wa arumeru

kweleakwelea

JF-Expert Member
Nov 29, 2010
3,066
1,535
WANAjf. nimeikuta hii katika comments za article katika gazeti la mwananchi.


je ni kweli? na ole kisambu ni nani?



comments by GILLIARD 2011-02-28 09:07


CHADEMA ni chama cha Watanzania walio makini sana na kazi zao za siasa.Msikubali
kukaa na watu wanaouza nafasi zao za uongozi wa CHADEMA kwa CCM. Mimi naishauri CHADEMA iende kule Arusha ichunguze pia kwa nini Ole Kisambu alishindwa kwenye jimbo la Arumeru Magharibi. Kuna tetesi kuwa huyu mzee aliuza nafasi yake ya umma wa CHADEMA kwa CCM. Naomba hili lifuatiliwe mapema sana.
 
Ukiwenda na yule aliyefukuzwa juzi mkutanoni,inaelekea wagombea ubunge wengi wa cdm walikubali zile milioni miatatu miatatu za ccm! Tutawajua tu!
 
Ni kweli uchaguzi umepita,
lakini je utafikaje huko 2015 bila ya kuwa na mikakti thabiti?
utafikaje huko 2015 bila ya kuangalia hayo mapungufu ya nyuma??
utafikaje 2015 bila kuweka maandalizi ya kutosha??
A good 2moro is today.[QUOTE=Kivia;1677713]Mzee/kijana uchaguzi umepita kula ugali ukalale. Subiri 2015[/QUOTE]
 
kwani mgombea wa chadema alipata kura ngapi na kwanini unahisi kuwa aliuza ushindi?
 
peoppplllllleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeesssssssssssssssssssssssssss powerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
 
hta mimi nashangaa m nlikuwa wakala wa cdm kata ya kiranyi kituo cha kiurei ktk kata ya kiranyi ole kisambu alishinda kwa kishindo saana sio hapo tu bali cdm ilipata madiwan 6 kati ya 14 pia yeye na dr slaa walipata kura nyingi sana, cha ajabu hta gazeti la mwananchi lilitangaza kashinda ila ni yeye mwenyewe alijitokeza na kukunusha kushinda, jingine la kujiuliza ni ukwel kuwa Ole medeye mb na waziri alkuwa hakubaliki kihvo hta na wana CCM kwa hiyo wengi walimpa Ole kisambo. Baada ya kusikia kuwa yeye kakanusha ushindi baadhi ya kundi la mawakala na mimi nikiwepo tulimfata hapo mianzini ktk bar yake ya Top Maasai Boma lakini alituepa na kukimbia since then cjamuona ila kulikuwa na fununu kuwa kapokea hela na alichukulia advantage coz nguvu kubwa ya vijana na cdm ilikuwa mjini kwa Lema nlisikia kafungua kesi ila cjui ni vp? Tulijitolea nguvu nyingi na mda wetu afu katutenda
 
hta mimi nashangaa m nlikuwa wakala wa cdm kata ya kiranyi kituo cha kiurei ktk kata ya kiranyi ole kisambu alishinda kwa kishindo saana sio hapo tu bali cdm ilipata madiwan 6 kati ya 14 pia yeye na dr slaa walipata kura nyingi sana, cha ajabu hta gazeti la mwananchi lilitangaza kashinda ila ni yeye mwenyewe alijitokeza na kukunusha kushinda, jingine la kujiuliza ni ukwel kuwa Ole medeye mb na waziri alkuwa hakubaliki kihvo hta na wana CCM kwa hiyo wengi walimpa Ole kisambo. Baada ya kusikia kuwa yeye kakanusha ushindi baadhi ya kundi la mawakala na mimi nikiwepo tulimfata hapo mianzini ktk bar yake ya Top Maasai Boma lakini alituepa na kukimbia since then cjamuona ila kulikuwa na fununu kuwa kapokea hela na alichukulia advantage coz nguvu kubwa ya vijana na cdm ilikuwa mjini kwa Lema nlisikia kafungua kesi ila cjui ni vp? Tulijitolea nguvu nyingi na mda wetu afu katutenda


Mzee Olekisambu aka Baba Jombii anazuga tu hamna cha kesi wala nini, huyu mzee anapenda pesa cjui mmasai wa wapi.
 
hta mimi nashangaa m nlikuwa wakala wa cdm kata ya kiranyi kituo cha kiurei ktk kata ya kiranyi ole kisambu alishinda kwa kishindo saana sio hapo tu bali cdm ilipata madiwan 6 kati ya 14 pia yeye na dr slaa walipata kura nyingi sana, cha ajabu hta gazeti la mwananchi lilitangaza kashinda ila ni yeye mwenyewe alijitokeza na kukunusha kushinda, jingine la kujiuliza ni ukwel kuwa Ole medeye mb na waziri alkuwa hakubaliki kihvo hta na wana CCM kwa hiyo wengi walimpa Ole kisambo. Baada ya kusikia kuwa yeye kakanusha ushindi baadhi ya kundi la mawakala na mimi nikiwepo tulimfata hapo mianzini ktk bar yake ya Top Maasai Boma lakini alituepa na kukimbia since then cjamuona ila kulikuwa na fununu kuwa kapokea hela na alichukulia advantage coz nguvu kubwa ya vijana na cdm ilikuwa mjini kwa Lema nlisikia kafungua kesi ila cjui ni vp? Tulijitolea nguvu nyingi na mda wetu afu katutenda
yani ndg yangu acha tu! Mi nimemshangaa sana,na mi naona kama vp wanCDM tuchunguze hili kwn jamaa ametuchafua ndevu kbs.
 
WANAjf. nimeikuta hii katika comments za article katika gazeti la mwananchi.


je ni kweli? na ole kisambu ni nani?



comments by GILLIARD 2011-02-28 09:07


CHADEMA ni chama cha Watanzania walio makini sana na kazi zao za siasa.Msikubali
kukaa na watu wanaouza nafasi zao za uongozi wa CHADEMA kwa CCM. Mimi naishauri CHADEMA iende kule Arusha ichunguze pia kwa nini Ole Kisambu alishindwa kwenye jimbo la Arumeru Magharibi. Kuna tetesi kuwa huyu mzee aliuza nafasi yake ya umma wa CHADEMA kwa CCM. Naomba hili lifuatiliwe mapema sana.

sio kweli ...watu makini wameshafuatilia na hakuna ukweli wowote..ni uchonganishi wa ccm tu.
 
Rai na angalizo kwa wana CDM na viongozi wake , naombeni tuwe macho na hawa wazee wanaojifanya wanataka kugombea kwa tiketi za CDM, hawa ni wasaliti kwa 100% japo si wote lakini, naombeni hizi ngazi za Udiwani na ubunge Vijana tujitokeze kuzichukua, wazee wetu hawa hawana nia njema na kizazi hiki, urefu wa mawazo yao ni usawa wa pua, hawafikirii mbali. kuhusu huyo kisambu wa arumeru, sina uhakika ila ni kwa taarifa nlizozpata alipokea hiyo pesa, mi nmepgia kituo cha Makumira kma dent wa chuon, yan huwezi amin CDM ilikuwa inaongoza lakin matokeo yanakuja kutoka viti vyote vya CDM chini!!. Naongea hivi kwa sababu mpaka sasa sina imani na wazee ambao wapo bungeni (a.k.a shibuda) sijui nyie mnawaonaje but mi nshaanza kuwa na hofu nao , naombeni hata kama tutapata wakereketwa niaje wa CDM ambao ni wazee tafadharini msiwape kugombea hivo viti haraka kwa kudhani kuwa wao wana hekima na busara ya kutuongoza, jueni historia zao kwanza, SLAA na wenzake ndo basi tunauhakika na tunawaamini coz ndo wametuzaa kupitia huku, lakin hao wa kupokelewa na sie wakiwa ni vikongwe tayari, NooUU!!. Piga garagaza, au ukatae ukubali wazee wote wa sasa wana damu ya UCCM bado! ndo mana unaona wafuasi wengi wa CCM ni vikongwe na mababu na vijana wenye mawazo ya kizee! So hawa ukiona wameikubali CDM haraka na kutaka kuchukua uongozi kuptia CDM, weken pozi kwanza af muwachaboo kimakini, ndo hao akina Ole Kisambu, hao hawajabadilika bado! wana mioyo ya CCM ingawaje miili yao inonekana kuwa ya CDM. Chonde chonde chonde wana CDM!!!!
 
WANAjf. nimeikuta hii katika comments za article katika gazeti la mwananchi.


je ni kweli? na ole kisambu ni nani?



comments by GILLIARD 2011-02-28 09:07


CHADEMA ni chama cha Watanzania walio makini sana na kazi zao za siasa.Msikubali
kukaa na watu wanaouza nafasi zao za uongozi wa CHADEMA kwa CCM. Mimi naishauri CHADEMA iende kule Arusha ichunguze pia kwa nini Ole Kisambu alishindwa kwenye jimbo la Arumeru Magharibi. Kuna tetesi kuwa huyu mzee aliuza nafasi yake ya umma wa CHADEMA kwa CCM. Naomba hili lifuatiliwe mapema sana.
Hizi nazo ni propaganda za CCM. Kwa nini hatusemi kuwa walioshindwa CCM nao walinunuliwa? Tembo akijificha kwenye msitu wa matembele ataonekana tu.
 
Back
Top Bottom