kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,066
- 1,535
WANAjf. nimeikuta hii katika comments za article katika gazeti la mwananchi.
je ni kweli? na ole kisambu ni nani?
comments by GILLIARD 2011-02-28 09:07
CHADEMA ni chama cha Watanzania walio makini sana na kazi zao za siasa.Msikubali
kukaa na watu wanaouza nafasi zao za uongozi wa CHADEMA kwa CCM. Mimi naishauri CHADEMA iende kule Arusha ichunguze pia kwa nini Ole Kisambu alishindwa kwenye jimbo la Arumeru Magharibi. Kuna tetesi kuwa huyu mzee aliuza nafasi yake ya umma wa CHADEMA kwa CCM. Naomba hili lifuatiliwe mapema sana.
je ni kweli? na ole kisambu ni nani?
comments by GILLIARD 2011-02-28 09:07
CHADEMA ni chama cha Watanzania walio makini sana na kazi zao za siasa.Msikubali
kukaa na watu wanaouza nafasi zao za uongozi wa CHADEMA kwa CCM. Mimi naishauri CHADEMA iende kule Arusha ichunguze pia kwa nini Ole Kisambu alishindwa kwenye jimbo la Arumeru Magharibi. Kuna tetesi kuwa huyu mzee aliuza nafasi yake ya umma wa CHADEMA kwa CCM. Naomba hili lifuatiliwe mapema sana.