Habari wadau., naomba kama kuna mtu mwenye soft copy ya majina ya mkopo kwa continuing students. Kuna mdogo wangu kaniambia kanyimwa mkopo na alikua anapata huko nyuma. Kimsingi simuamini sana. Nawasilisha
kwa Udom wapo kibao Mzee yaan kuna madogo kibao matokeo yao hayajapelekwa Bodi.
wengine mpaka sasa hawajaingiziwa matokeo yao ya suplimentary hii imefanya Bodi wasiwape mikopo
cha ajabu uongozi Wa chuo Upo kimya kwa hizi dosari ambazo zipo upande wao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.