La Biblicana
JF-Expert Member
- Jan 1, 2013
- 556
- 343
IMETUFIKIA tupo pamoja hoja inamashiko sana.nikupongeze tu kwa hilo jina la ''FASTJET'' maana huyu jamaa kama RUBANI.......sijui anajifunza kurusha ndege?,alafu eti anataka tumu ite rais wa maendeleo....heee KILAZA weye!,we ni FASTJET tu hata ulalamike vp.
Haya maneno yana mchango gani kwa maendeleo zaidi ya kuwafanya muendelee kuwa nyuma. Tumia muda wako kuchangamkia fursa zilizopo na sio kupongezana ujinga.