Pre GE2025 Katibu Mkuu CCM Mtwara Mjini: Vijana tumieni mitandao vizuri kwa manufaa ya CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Sep 2, 2024
2,096
5,592
Wakati Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaenda kutimiza miaka 48 tangu kuanzishwa kwake vijana wameshauriwa kutumia kwa faida mitandao ya kijamii ili iwanufaishe kwenye shughuli zao na shughuli za kichama.

Akizungumza kwenye hafla fupi ya kusherehekea miaka 48 ya chama hicho iliyoambatana na kufanya usafi kwenye ofisi ya CCM kata ya Shangani, Katibu wa CCM Wilaya ya Mtwara Mjini mkoani Mtwara, Fadhil Mrami amesema mara kadhaa wanawaomba vijana kutumia mitandao kwa maslahi yao binafsi na chama chao kwani mambo mengi yanafanyika kidijiti.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM kata ya Shangani Awazi Silim ametoa rai kwa vijana kutotumika kisiasa na badala yake waungane na kushikamana ili chama chao kizidi kuwa imara na kizidi kuchukua dola.

Mariamu Mohamed, ambaye ni mjumbe amekipongeza chama kwa kutimiza miaka 48 na amewaomba wazee wa chama kuwa karibu na vijana kwaajili ya kuwaelimisha ili vijana hao waendelee kudumisha na kukipa uhai chama chao kwakuwa vijana wengi hawajui wapi chama hicho kimetokea.

Vijana.png


Source: Jambo TV
 
Wakati Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaenda kutimiza miaka 48 tangu kuanzishwa kwake vijana wameshauriwa kutumia kwa faida mitandao ya kijamii ili iwanufaishe kwenye shughuli zao na shughuli za kichama.

Akizungumza kwenye hafla fupi ya kusherehekea miaka 48 ya chama hicho iliyoambatana na kufanya usafi kwenye ofisi ya CCM kata ya Shangani, Katibu wa CCM Wilaya ya Mtwara Mjini mkoani Mtwara, Fadhil Mrami amesema mara kadhaa wanawaomba vijana kutumia mitandao kwa maslahi yao binafsi na chama chao kwani mambo mengi yanafanyika kidijiti.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM kata ya Shangani Awazi Silim ametoa rai kwa vijana kutotumika kisiasa na badala yake waungane na kushikamana ili chama chao kizidi kuwa imara na kizidi kuchukua dola.

Mariamu Mohamed, ambaye ni mjumbe amekipongeza chama kwa kutimiza miaka 48 na amewaomba wazee wa chama kuwa karibu na vijana kwaajili ya kuwaelimisha ili vijana hao waendelee kudumisha na kukipa uhai chama chao kwakuwa vijana wengi hawajui wapi chama hicho kimetokea.

View attachment 3224928

Source: Jambo TV
Si kwa manufaa yao?
 
Wakati Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaenda kutimiza miaka 48 tangu kuanzishwa kwake vijana wameshauriwa kutumia kwa faida mitandao ya kijamii ili iwanufaishe kwenye shughuli zao na shughuli za kichama.

Akizungumza kwenye hafla fupi ya kusherehekea miaka 48 ya chama hicho iliyoambatana na kufanya usafi kwenye ofisi ya CCM kata ya Shangani, Katibu wa CCM Wilaya ya Mtwara Mjini mkoani Mtwara, Fadhil Mrami amesema mara kadhaa wanawaomba vijana kutumia mitandao kwa maslahi yao binafsi na chama chao kwani mambo mengi yanafanyika kidijiti.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM kata ya Shangani Awazi Silim ametoa rai kwa vijana kutotumika kisiasa na badala yake waungane na kushikamana ili chama chao kizidi kuwa imara na kizidi kuchukua dola.

Mariamu Mohamed, ambaye ni mjumbe amekipongeza chama kwa kutimiza miaka 48 na amewaomba wazee wa chama kuwa karibu na vijana kwaajili ya kuwaelimisha ili vijana hao waendelee kudumisha na kukipa uhai chama chao kwakuwa vijana wengi hawajui wapi chama hicho kimetokea.

View attachment 3224928

Source: Jambo TV
🚮🚮 Huyu naye ni kiongozi? Utashangaa anapewa dhanana ya wananchi. Kama taifa tuna safari ndefu..
 
Back
Top Bottom