Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,230
- 10,201
Wakuu Habar zenu,
Nichukue fursa hii kuongea na Ndugu zetu kutoka Kusini, Mtwara in particular.
Ni juzi tu tumemsikia Rais (Fastjet) akiwaponda na kupotosha umma juu ya Madai yenu ya Msingi.
Tumeona pia Jinsi Pinda alivyokimbilia kuongea na Vyombo vya habari na Kupotosha Yale mliyo kubaliana Mtwara.
Katika zile siku ambazo mliudhihirishia ulimwengu na Serikali ya CCM Kuwa Nguvu ya Umma siku zote haishindwagi hata na Dola Adhimu.
Kipindi kile Fastjet alikuwa anakula zake Bata Ulaya na kubuzi buz na Rais wa Fifa.
Tuliona Jinsi Mara baada ya kurud tu akakimbilia Kwenye hotuba yake through TV kuwapondea na Kupotosha Madai yenu badala ya Kuja huko na kuwasikiliza kilio chenu.
Kitendo cha yeye kutokuja huko na kukimbilia TV ni matusi kwenu.
Leo kazidi kustaajabisha ijapokuwa mnaweza kuwa hamjamstukia kwa Kwenda Kigoma Kwenye shughuli za Chama chake.
Taarifa ya Habari ITV Leo usiku
Maswali ya Kujiuliza
Hivi huyu mtu alishindwa kuwafuata huko Mtwara kuwasikiliza akaishia kuwa tusi kwenye Media leo kakimbilia Kigoma kwenye shughuli zake za Kichama
My outlook
Kwa Fastjet yeye chama ni Kwanza mengine Baadae, yaani ameshindwa ku weigh kati ya Mtwara (Madai ya Kitaifa) na Kigoma (Mambo Ya CCM)
Hii ni Dharau kubwa sana kwenu wana Mtwara
cc THE BIG SHOW ,
Mkuu fikisha hii message kwa Ndugu zetu wa Kusini
he, wenyewe wapime waone kama content ya huu uzi ina mashiko ama la.
Nichukue fursa hii kuongea na Ndugu zetu kutoka Kusini, Mtwara in particular.
Ni juzi tu tumemsikia Rais (Fastjet) akiwaponda na kupotosha umma juu ya Madai yenu ya Msingi.
Tumeona pia Jinsi Pinda alivyokimbilia kuongea na Vyombo vya habari na Kupotosha Yale mliyo kubaliana Mtwara.
Katika zile siku ambazo mliudhihirishia ulimwengu na Serikali ya CCM Kuwa Nguvu ya Umma siku zote haishindwagi hata na Dola Adhimu.
Kipindi kile Fastjet alikuwa anakula zake Bata Ulaya na kubuzi buz na Rais wa Fifa.
Tuliona Jinsi Mara baada ya kurud tu akakimbilia Kwenye hotuba yake through TV kuwapondea na Kupotosha Madai yenu badala ya Kuja huko na kuwasikiliza kilio chenu.
Kitendo cha yeye kutokuja huko na kukimbilia TV ni matusi kwenu.
Leo kazidi kustaajabisha ijapokuwa mnaweza kuwa hamjamstukia kwa Kwenda Kigoma Kwenye shughuli za Chama chake.
Taarifa ya Habari ITV Leo usiku
Maswali ya Kujiuliza
Hivi huyu mtu alishindwa kuwafuata huko Mtwara kuwasikiliza akaishia kuwa tusi kwenye Media leo kakimbilia Kigoma kwenye shughuli zake za Kichama
My outlook
Kwa Fastjet yeye chama ni Kwanza mengine Baadae, yaani ameshindwa ku weigh kati ya Mtwara (Madai ya Kitaifa) na Kigoma (Mambo Ya CCM)
Hii ni Dharau kubwa sana kwenu wana Mtwara
cc THE BIG SHOW ,
Mkuu fikisha hii message kwa Ndugu zetu wa Kusini
he, wenyewe wapime waone kama content ya huu uzi ina mashiko ama la.