mkuu!Jasiri haogopi chochote,hata kwa majina halisi sawa,mm niko tayari kwa jina halisituje kwa majina yetu halisi ama avatar zetu
haina shaka mkuu,kumbe huko mzumbe,msalimie dada mmoja kamanda anaitwa Solwa,Naomba tusipoteze muda, wiki moja kabla ya ziara ya Rais wetu Dr. tukutane Mzumbe garden tupange mikakati, nipo tayari.
Bila kujali vyama vyetu,dini zetu na tofauti zetu nyingine,tuunde umoja wetu,na kufahamiana.kwa wanaoishi mbeya. NAWASILISHA
asante sana mkuu kwa mwitikio wako,mm sio engineer,labda tumefanana majina tu.Mzumbe garden ipo getini kuingia mzumbe un,mbeya cumpas.unaweza pendekeza sehem nyingine mkuu, huyo kijalo jina la kwanza nani?hbr bwana kijalo. Mzumbe garden ipo wapi? Vipi ni kijalo yule engineer?
haina shida mkuu,karibu kwenye maandamano aprilkaka asante kwa ujumbe. Huyo kijalo namfahamu kwa jina moja tu. Kuhusu mkutano, mimi ni mwana JF nipo dar ila ni mzaliwa wa mby. Natokea kwa wajanja Isanga. Hata hivyo, nitaomba ninyi mliopo mby mkijadili mambo yahusuyo mbeya msisite kutujulisha sisi tuliopo Dar ambao tunatokea mby.