Kwa wana CHADEMA tu!

Kwa wana CHADEMA tu!

mpinzani wako toka ccm atakuwa malariasugu mnafanana maborers wa jf

Ingependeza sana wewe uungane naye muwe wapinzani wangu! Mnashabihiana si sura tu hata fikra zenu ni moja!
 
nami niko hivyo na Babu yangu alikuwa CCM miaka ya 1980 kama Mwenyekiti wa Wilaya lakini kwa kuwa hakuwaelewa aliama mwaka 1993 kwenda NNCR wakati huo sasa ameshakata roho, Mungu hamreemu maana ke mpaka sasa angekuwa CDM nami ninafuata nyayo zake kuakisha Nchi hii inakombolewa Upya kutoka mikononi mwa Genge la Vibaka wanaobaka vijisenti vya walapwiiiiiiiii

Mbona watutisha marehemu babu yako hakuwa na msimamo (kuhama vyama) na wewe unataka kufuata nyayo zake ....mi nakushauri uchukue mazuri mabaya mwachie alale nayo
 
Rev Masanilo naomba nikupe hongera.

Vision yako ni nzuri ila ni vizuri uwe wazi na ufahamike na chama ili atleast uwe unapata ushauri kutokana na Msimamo wa chama makini CDM.

Unayoyawaza wanayawaza watanzania wengi kiasi kwaba 2015 hapatakuwa na jimbo la bure kwa hao wezi. kwa hiyo ushauri wangu ni muhimu uanze kuwa mmoja wa wana CDM kabla ya Safina kufungwa.

Nadhani CDM watakuwa strictly sana 2015 hasa kwa wageni, maana unaweza kuwa mda mdogo kwa wana CDM kuweza kukufahamu historia yako ktk chama na misimamo yako juu ya haki za raia na taifa kwa ujumla.
:ranger:
 
Rev Masanilo naomba nikupe hongera.

Vision yako ni nzuri ila ni vizuri uwe wazi na ufahamike na chama ili atleast uwe unapata ushauri kutokana na Msimamo wa chama makini CDM.

Unayoyawaza wanayawaza watanzania wengi kiasi kwaba 2015 hapatakuwa na jimbo la bure kwa hao wezi. kwa hiyo ushauri wangu ni muhimu uanze kuwa mmoja wa wana CDM kabla ya Safina kufungwa.

Nadhani CDM watakuwa strictly sana 2015 hasa kwa wageni, maana unaweza kuwa mda mdogo kwa wana CDM kuweza kukufahamu historia yako ktk chama na misimamo yako juu ya haki za raia na taifa kwa ujumla.
:ranger:

Ni mwanachama tokea 1993 nilipewa kadi na BOB Makani kule Shinyanga. Sema nahitaji kuwa hai

Asante sana
 
yes hii ni sawa kabisa. kuchukua nchi 2015 kazi na ianze sasa.

kwenye eneo langu ninaloishi nimeanzisha changamoto kuwa chadeama lazima ichukue diwani. nitachukua udiwani kwa tiketi ya chadema. ila akitokea mwingine wa chadema anayeweza kuuzika kirahisi basi na tumpishe huyo.

kama mwanachama wa kawaida mwenye kainfluence, nimeanza kugawa kadi na kuplay role ya being proud na chadema. nasikitika tu kofia na bendera hazipatikani huku dodoma.

niliishapeleka maoni yangu cdm kuwa kuna haja ya kukamata vichwa vinavyoweza kulianzisha mapema. vianze kusweep na kuhamasisha na kufungua matawi puia kugawa kadi.waheshimiwa wakija wakati wa operation sangara iwe ni kuofficiate tu.....

kunatakiwa kuwa na some sort ya research and planning department. hii itajumuisha mbinu zinazotumika, zipi zinawork, zipi haziwork. zinazowork zinatakiwa kuwa replicated. kuwe na feedbaCK MECHANISM TOKA JUU HADI CHINI.

kunatakiwa kuwe na planning department, hii itaanda MTEF kwa ajili ya execution za majukumu na kuondoa possibility ya kile cha mrema na marando (109 miln) kujirudia. strategic plan ya mwaka mmoja na miaka mitano ni very important ili kuweza kufanya yote kwa pamoja, kujali priorities na kutumia resources kwa matokeo yanayoonekana!

chadema sasa inakabiliwa na ganzi - shinikizo. chama kimekua so rapidly na kinaweza kufail kuhimili mabadiliko kisipokuwa makini. kinatakiwa kihame kutoka kwenye kikundi cha watu hadi taasisi kamili.

wabunge wa chadema wanatakiwa kujua kuwa wako kwenye mchakamchaka. wanatakiwa watoe ushirikiano wa hali ya juu kuongelea au kujenga chama. wasiongeze umbali kati yao na wananchi wa kawaida (wasiloose touch) waige mfano wa mwenyekiti mbowe ambaye hadi leo ni kipenzi cha walalahoi na masela wa vijiweni!

jamani tuna miaka MINNE IMEBAKI KAZI NA IANZE!
 
Big up Masa! Mimi naku support hasa kwenye swala la nyumba. Nitoe maoni tu kama yata add value kwamba instead ya kujenga kitu kitakachokaa muda mfupi basi ningekushauri kuwa organize vijana kwenye jimbo lako kutengeneza small companies za ujenzi alafu wakiwa in those group of companies unawezesha kuwatafuta wataalamu wenye vyeti vya VETTA kulingana na fani zao one in each group. So kutakuwa na hao watakaosaidia kufytua matofali company moja, waashi company nyingine etc. Baadaye over all unatafuta Civil engineer mzalendo mmoja atayekuwa akitoa consultancy kwenye hivyo vikundi lakini kwa makubaliano rasmi kwamba hivi vi company viki breakthrough watalipa hiyo consultance fee kwa huyo mzalendo na wewe ukiwa garantor (SP?) wao.

Then mnaanza kupanga vijiji/ mitaa depending on needs na kuingia mikataba ya hiari (Long term) na raia wenye hitaji la nyumba kuwajengea nyumba zao nzuri spacious na zenye garden za nguvu maana huko rural ardhi siyo issue kubwa. Kazi yako kama mbunge mtarajiwa tafuta seed money (Funds) siyo nyingi sana kusaidia kuweka misingi kwenye hizi companies tafadhali usipeleke hii issue kwa wafadhili (foreigners) utashindwa kabla ya kuanza. Unaweza uka solicite funds from various internal sources..kumbuka hao ni vijana ambao hawakuwa na kipato so usiwape pesa bali posho kidogo tu za kujikimu wakati wakianza; so before anything fanya baseline kuona kipato halisi nikiasi gani in the specific area ili chochote watakachokipata from their companies wakithamini na kuona ni jasho lao wenyewe (To develop sense of ownership).

Then wakiweza kujenga nyumba ukianza kwa wale wenye kipato ili waweze kulipa kwa haraka...una saidia kuwa na leagal facilite itakayowezesha agreement huku wewe uki mediate. Umtafute mzalendo pia kwa consultancy tu how to draw simple and applicable agreements. Na hivyo hao first phase wakianza kulipa companies zina anza kuwa liquidated so wanaendelea na hizo firm zao kuwajengea na wengine na wengine mpaka hatimaye inakuwa ni permanent thing...Utawapa vijana ajira na family zao makazi mazuri.

Wewe mbunge mtarajiwa utakuwa na kazi ya kutafuta other ways za kuraise income za wapiga kura wako ili waweze lipia hizo nyumba zao...Maana watatakiwa kulipa may be in 20 years for example. Malipo yakifanyika kwa installment ukitoa grace period ya may be one season ya kuvuna mazao na kuuza. Care International wana models za payment kwaajili ya hizo programs hata za nchi nyingine kama Bangladesh and the like.

Implementation wont be straight lakini utakuwa na lessons learnt na ku improve as you proceed. Masa Ukishafanikisha after so many years unikumbuke nije kutembelea tu nitafarijika sana na wakati huo tutafungua shampen pamoja na wapiga kura wako!

Nakutakia yote mema katika kufikia malengo yako

Masanilo ulifanikiwa ubunge? Naona kuna mzalendo alikupaga hizi notes!
 
Mhenga Rev. Fr. Masanilo... Hivi yupo? Nakumbuka battle zake ni Malaria Sugu "MS"... Dah, those days
 
Kaka masanilo ulipotea sana habari za huko ulikokuwa
 
Ushauri mm kama chadema damuuu bavicha MPE heche,katibu MPE lisu ,mwenez MPE lema hahahahahaha hapo itakuwa noma sanaaaaa
 
Back
Top Bottom