Kwa wana CHADEMA halisi


Mkuu hongera kwa mchanganuo mzuri ingawa nasikitika kuwa hakuna atakayekuelewa kwa kipindi hiki....tena unaweza ukaambulia matusi.....
 
Ndugu wapenzi na wanachadema halisi wa chadema na mageuzi kwa ujumla, haihitaji kuwa na degree kujua tumesaritiwa.......

Nilipofika hapo tu nikagundua wewe ni mwana CCM hehehehe, nice try!!!
 
Acha propaganda za kitoto tena za kizamani kama zile za omari mahita

wewe kada wa ccm tena uliyefirisika kielimu,kiuelewa, you are not creative.huwezi kumshawishi hata

mtoto wa darasa la saba. Usirudie utoto wako wapelekee huko kwenu mliopumbazwa na uongo wa chuo cha kigamboni cha propaganda
 
Hili wala lisiwasumbue mioyo wapenda mageuzi wa kweli; watu ambao wanatambua kilichotokea wanasubiri tu siku hiyo ili waizimishe daima hi safari isiyo na lengo. Wanachadema na wanamageuzi ambao wamekataa kuwa sehemu ya usaliti huu harakati wanajua nini kinahitajika na wanasubiri kwa hamu kukata kile tunachoweza kukiita ni "ngebe" ya kundi la wanasiasa ambao wamejaribu kuchukua njia ya mkato.
 
mmh,

..hapana.

..tukiwapa ccm itachukua miaka mingine 50 kuwatoa.

..bora tuwape ukawa halafu tutumie miaka mingine 5 kujipanga kupata hayo unayoita mageuzi ya kweli.

..nakuhakikishia itakuwa rahisi kuwaondoa ukawa 2020 kuliko kuwaondoa ccm.
 
Last edited by a moderator:
Chadema itabaki kuwa chadema....after october 2015...kura ni kwa ukawa...
 
Mtoa Mada una kiakil kdg xn, kwann utujumuishe ccm wapgie mwenyewe, jtegemee na ufkr Zaid
 

Kwa hiyo mwanamageuzi ni wewe???? Wewe ni msaliti tu na mchumia tumbo.

Kwani miaka ya nyuma mbona hukua na effect yoyote sasa? Pamoja na umageuzi wako?
 
njoo na wazo mbadala kama unalo maana sijaelewa ulichomaanisha

Mkuu ni kweli huwezi kunielewa, utatumia nini ili unielewe? Wazo mbadala ccm iondoke kwanza tuanze hesabu upya.
 
[/LIST]

Umenena yaliyo wazi. Tatizo humu ukumbini kuna wenye bongo zenye maziwa mgando ambao hawaoni kuwa wanatumiwa na TEAM LOWASSA kutimiza malengo ya Lowassa na sio malengo ya wanamageuzi.

Nyie mbwa acheni kupotosha umma.
Mnataka kusema hilo mnaloita kusanyiko ndo chanzo cha haya?
Kuua viwanda vyote
Kuuza kifisadi nyumba za serikali
ufisadi epe
Ufisadi richmond
Ufisadi meremeta
mikataba isiyo na manufaa ya madini
Ufisadi tagold
Ufisadi escrow
hospitali kukosa dawa
Barabara mbovu zinazoua watz kila uchao
shule kukosa madawati
Ufisadi mgodi wa kiwira
Mauaji ya maksudi mwangosi
gharama za maisha kupanda
maisha duni kwa watz wengi huku viongozi wa ccm wakineemeka
ccm NI CHAMA CHENYE LAANA
 

Nakubaliana na wewe asilimia mia. Wenye akili tu ndo wataliewa hili. Ila IQ kinukta hawataka waelewe. Naamini watanzania wengi ni waelewe hawatafanya ujinga wa kuirudisha CCM madarakani.
 
Last edited by a moderator:

hizi za chadema halisi sijui nini si zilishavuja umu kabla sasa mbona mmezileta hivyo hivyo uku mkiwa mnajua hiyo mikakati ilishavuja umu au hamkuhabarishana kuna mpango umeleak?
 
Hivi hawa Chadomo na Ukiwa, walikuwa hawana mgombea kabisaa.Inanishangaza sana na sijaona mgombea aliyekataliwa kwa kashfa nyingi, eti ndiye mgombea wa Urais Tanzania, duu jamani!! hakukosea kikwete alivyo sema, akili za mwenzakoo changanya na za kwakoo!! yaani hii haitaji elimu kubwa, yaani hata mtoto wa chekechea angejiuliza tu, kabla ya maamuzi.
 
Mambo ya kumshawishi mtu umechelewa watu wanaenda kupiga kura 25 october 2015
 
Kuendelea kubaki chama cha Siasa Hai na Imara,CHADEMA ni lazima mgombea Urais wao ashinde na kutwaa kiti cha urais wa Tanzania; vinginevyo CHADEMA itaifuata NCCR mageuzi kwenye LIMBO.

Body with life but no soul.
Zombie Party
 
Hivi kuna mtu anaweza soma hilo bandiko hadi mwisho? Chadema halisi ni nini....... tulieni October mtapata majibu

UVCCM wana haha sana kuokoa lichama lao. Mara wajiite CHADEMA ASILIA mara mgombea wao ajiite M4C.

Shiida kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…