Naomba kuwauliza ndugu zangu wa CCM, kuanzia ngazi ya juu mpaka ya Chini, kwamba wanapopitisaha eg Miswada ya Bunge wanajua maana yake na madhara yake kwa nchi au ndio kusindikiza Bwege wakati wenzao wana Faidika na Hiyo Miswada.
Mojawapo ni hiyo ya Madini, Ubinafsishaji, hata hizi sheria za kutangaza Mali wakati ukiomba faili lenyewe hupewi, Miswada ya Kodi nakadhalika, au ndio kudanganyika na elfu kumi kumi za vikao na kupewa uenyekiti au ujumbe kwenye Bodi ndiko kunako wadanganya?
Pia hivi karibini tuliona Umoja wa Vijana wa CCM wakipokea 400m kutoka kwa mfadhili moja , Je hii fedha imekuja kwa nia nzuri, na inajenga taifa kikweli kweli au inajenga nchi kama Ice cream jua likija ina yayuka.
NNi mengi yapo yanafanyika na yanapitishwa na Vikao halali vya CCM au katika Bunge letu ambayo ni ya kuiua au kuiangamiza nchi yetu, au kuwanufaisha wachache lakini inapigiwa kura na wengi wetu. Sasa sisi/hao wanaopigia kura maamuzi mabovu au kupitisha kiongozi mbovu, je wanaelewa kwamba wanajiangamizi wenyewe?
Mifano Nyingine inaweza kuwa Ubinafsi shaji wa TRC, ATC, Bandari nk
Mojawapo ni hiyo ya Madini, Ubinafsishaji, hata hizi sheria za kutangaza Mali wakati ukiomba faili lenyewe hupewi, Miswada ya Kodi nakadhalika, au ndio kudanganyika na elfu kumi kumi za vikao na kupewa uenyekiti au ujumbe kwenye Bodi ndiko kunako wadanganya?
Pia hivi karibini tuliona Umoja wa Vijana wa CCM wakipokea 400m kutoka kwa mfadhili moja , Je hii fedha imekuja kwa nia nzuri, na inajenga taifa kikweli kweli au inajenga nchi kama Ice cream jua likija ina yayuka.
NNi mengi yapo yanafanyika na yanapitishwa na Vikao halali vya CCM au katika Bunge letu ambayo ni ya kuiua au kuiangamiza nchi yetu, au kuwanufaisha wachache lakini inapigiwa kura na wengi wetu. Sasa sisi/hao wanaopigia kura maamuzi mabovu au kupitisha kiongozi mbovu, je wanaelewa kwamba wanajiangamizi wenyewe?
Mifano Nyingine inaweza kuwa Ubinafsi shaji wa TRC, ATC, Bandari nk