Kabaino Hauliers ltd
New Member
- Sep 11, 2017
- 1
- 0
Mkuu ukiwa na Landcruiser pickup una gari la maisha. It is a very good car providedyou take care of it. Nadhani lina problems za kawaida tukama gari lingine. Unatakiwa kulitunza vizuri. Ni garu imara sana ndiyo maana hata bei yake inazidi Toyota Landcruiser za kawaida.View attachment 586137 Kutokana na utafutaji umekuwa mgumu kidogo hivyo inatulazimu kwenda mizunguko ya mbali kabisa. na gari nayoona inafaa kwa miaka kenda ni land cruiser pick . tupene updates zake uzuri, common problems zake tunataka tujibane tuvute moja. ama kwa ambaye anaye anaweza wasiliana nasi 0767 52 74 54 asanteni wahenga.