hizi ni data za mwaka ghan maaana gharama zimepandq Dom. mimi nimetoka juzi tu.. na maeneo mengi ni kuanzia 15,000/=Mimi huwa sifikii guest wala lodge mkuu so sifahamu bei hizo ila maeneo ya Area C , nkuhungu, bati, city, na maeneo ya maili mbili au hata wajenzi pia mitaa ya irdp/mipango hayo ni maeneo yanaweza kuwa na hizo guest ila bei inaweza kugharimu sasa sijui uwezo wa mtu ila 10000 na kuendelea sizani kama utakosa pamoja kulala, labda mpaka niulize baadae ntatoa jibu kuwa guest huko ni shingapi exactly maana maeneo ya Area D huko kuna hotels na kama ni lodge inatia shaka kuwa huwezi pata kwa bei hiyo, hata hivyo hayo maeneo nimetaja ukiamka saa 11 asubuhi unakuta daladala 400 mpaka stand ya town pale, ukifika saa 12 town hiyo ni mida ya kazi watu wanaingia UDOM Kwa bodaboda(5000/) so huwezi hofia chochote pia ukivuka kule relini mbele kuna makazi ya watu atauliza boda boda ili afanye mabadiliko ya makazi maana kutokea kule ni 1000 kwa bajaji mpaka UDOM na huko ndo wanaishi wanafunzi wengi wa UDOM jina la mtaa nishasahau kitambo N.B mitaa hiyo ndo yenye makazi ya Chee.
Fika siku mbili kabla uende ukaone na ufanye namna. Wapo watakao kusaidia pia kwenye uzi wako, mimi si mtenbeaji sana so siku sijui mitaa mingi ilivyo