Kwa waliosoma Majengo secondary Moshi

Kwa waliosoma Majengo secondary Moshi

baracky

Member
Joined
Mar 3, 2013
Posts
63
Reaction score
17
Napenda kuwakumbusha Kuwa Majengo ni shule ambayo Sita sahau mana nilijifunza Mengi kupitia Broo Lyimo nimemmiss sana Kama wewe ni wa Majengo tukumbishane chochote kuhusu shule yetu wadau.
 
Mnasifika kwa kufeli sana

Majengo ni zaidi ya shule,sema sisi si kama wa ilboru full misifa,nafurahia hapa nilipo kwa ajili ya brush la majengo,naamini kuna ma GT wengi hapa ambao ni mazao ya majengo,watakuja punde.
 
Majengo ni zaidi ya shule,sema sisi si kama wa ilboru full misifa,nafurahia hapa nilipo kwa ajili ya brush la majengo,naamini kuna ma GT wengi hapa ambao ni mazao ya majengo,watakuja punde.

Yaaa kweli broo but unakumbuka broo Lyimo na kuelezea maana ya despline
 
Napenda kuwakumbusha Kuwa Majengo ni shule ambayo Sita sahau mana nilijifunza Mengi kupitia Broo Lyimo nimemmiss sana Kama wewe ni wa Majengo tukumbishane chochote kuhusu shule yetu wadau.

Doing the right thing, at the right time and at the right plece with the right person! Been there man form six class of 2001
 
Kiukweli vijana Majengo imekuwa hovyo sana hasa olever ndio wanaiaribu shule yetu ila Broo Lyimo anajitahidi sana
 
Mimi nakumbuka siku ya nyama na wali kuna kuwa na fujo sana hadi Lyimo anakuja kusimamia mwenyewe
 
Natamani Manispaa wairudishe ile shule yetu ya Msingi kwani nimesoma hapo na wazazi wetu walichangia ujenzi wa madarasa mnayojisifia nayo eti ya sekondari kwani hao mapadri walishindwa kuijenga sehemu nyingine?

Ufisadi mtupu ulitumika hapa eti kanisa!nalo linaingia katika mikataba ya kifisadi! haiwezekani!!!!!!!!!!.

Nasema tutairudisha tu hii shule siku moja iendelee kuwa ya msingi au sekondari ya kata, Nasema iko siku haiwezekani serikali iiuzie kanisa shule yetu tena ya msingi eti sekondari ya kulipia huu ni wizi mtupu hakuna la kujisifia hapa tena ufisadi unaolihusisha kanisa ehee!!!.
 
Back
Top Bottom