Kwa waliosajili kampuni siku za karibuni

Kwa waliosajili kampuni siku za karibuni

Ms Judith

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2010
Posts
2,563
Reaction score
932
Wapendwa,

Natumaini hamjambo na mnaendelea vyema na majukumu.

Naomba kwa mwenye latest information anisaidie kujua kusajili kampuni ya up to Tsh 500,000 nominal capital inagharimu jumla ya Ths. ngapi na zinahitajika nakala (copies) ngapi za memorandum and articles of association.

Asanteni sana wapendwa na mbarikiwe.

Glory to God!
 
unazungumzia mtaji wa laki tano (500,000) au ngapi....? maana ikiwa hivyo bora usisajili maana gharama yake si chini ya laki 350....!!!
 
unazungumzia mtaji wa laki tano (500,000) au ngapi....? maana ikiwa hivyo bora usisajili maana gharama yake si chini ya laki 350....!!!

Yeah,

mtaji wa kuandikisha laki tano. usijali gharama za kusajili, ninachotaka kujua ni jumla ya kiasi gani natakiwa nilipe. kwa sababu namtuma kijana anisaidie kuweka sawa logistics. ikishasajiliwa uwekezaji utaongezeka.

vipi na nakala zinatakiwa ngapi?

ubarikiwe sana mpendwa,

Glory to God!
 
Yeah,

mtaji wa kuandikisha laki tano. usijali gharama za kusajili, ninachotaka kujua ni jumla ya kiasi gani natakiwa nilipe. kwa sababu namtuma kijana anisaidie kuweka sawa logistics. ikishasajiliwa uwekezaji utaongezeka.

vipi na nakala zinatakiwa ngapi?

ubarikiwe sana mpendwa,

Glory to God!

nakala zinakuwa nne, na gharama zingine hazipungui 350,000, kwa kuwa haikugharimu kitu weka mtaji wa 10m
 
nakala zinakuwa nne, na gharama zingine hazipungui 350,000, kwa kuwa haikugharimu kitu weka mtaji wa 10m

asante sana mpendwa na ubarikiwe sana

Glory to God!
 
nakala zinakuwa nne, na gharama zingine hazipungui 350,000, kwa kuwa haikugharimu kitu weka mtaji wa 10m

Kwa mtaji wake huo gharama halisi zitakuwa 278,000/=. Kama ulivyosema, nakala zimatakiwa nne. Naunga Mkono hoja yako aweke mtaji wa angalau 10m
 
Kwa mtaji wake huo gharama halisi zitakuwa 278,000/=. Kama ulivyosema, nakala zimatakiwa nne. Naunga Mkono hoja yako aweke mtaji wa angalau 10m

aasante sana na ubarikiwe sana mpendwa.

Glory to God!
 
Back
Top Bottom