Mtambachuo
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 2,306
- 4,198
Kwa nini mkuuNajuta kusoma UDSM
Kwa nini mkuuNajuta kusoma UDSM
Ilivuma sana hii. Huyo Mganda alikubalika sana.Odong Kephaselas Odouwar (Odoooooooong!!.....Odouwar) ilikuwa mbungi hiyo uchaguzi DARUSO mwaka 2008.
Odong vs Mlowe, Faustine J. Kasongi etc.
Hii comment imenikumbusha mbali sana.Sitasahau Ali Salum alivyotaka kuongoza mapinduzi, akatupandikiza chuki dhidi ya Rais Saimon Mathius Kipara, watu tukapiga ruti za ndani, ila siku Kipara alipojitokeza rev square, tukaanza kumshangilia na kumbeba.
Kipara alikuwa na waziri mkuu mpiganaji sana. Mh Paul Chacha.
Alikuwa mtata..kuna siku watu walingushwa na ffu pale mwenge wakizuiwa kwenda ikulu, alibanwa akaingia chini ya gari hali ikatulia alivyotoka kachafuka, kapandwa na wazimu kapga keleleDaah. Yaani kati ya wanawake jasiri Helen(AISHABIB) nae alikuwa namba 1. Ningekuwa na uwezo ,na pia angenikubali tungeoana.
Walikuwa 54, wakarudishwa 35, wakabaki 19Ni list ndefu iliyofukuzwa 2011,
1. Alphonce Lusako (Emekha)
2. Evarist Ambrose Silayo
3.Baraka Monance (kijicho)
4. Mabirika Mawazo (Al-shabab)
5. Helen Philip Mushi (Al-shabibi)
6. Fredy Chacha Hatari
7. Elius Mwambapa
8. Francis Ndunguru
9. Japhet Mwashimaha (Sokwe)
10. Legan Michael
11. Bocasa
na viongozi wa DARUSO kama
1. Daniel Naftal (Waziri wa mikopo)
2. Paul Mkenda (Menyekiti, UDSL)
3. Ado Shaibu (katibu UDSL)
4. Nicodemus Kazimil
na wengine siwakumbuki majina.
Ila ktk list hii nilikuwa namkubali sana Ambrose Evarist Silayo, jamaa ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja, I can see a future leader in him. Pia akina emekha na wengine wote ni wazuri ktk harakati, but mi nilimkubalisana Silayo.
Maeneo ya mwengeWaliokuwa DARUSO ndio wengi wao wamerudishwa. Al-shabibi alinikosha kwenye ile ruti ya kudai buku kumi, wakati askari wanataka kumkamata, aliingia mtaroni akatoka amejaa matope, wakamuacha aende zake.