Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,509
- 94,640
Soma post vizuri. Ni past tense!Huoni aibu kujitangaza kikojozi?
Halafu hata kama ningekuwa bado nakojoa ningejitangaza ili nipate msaada. Mficha maradhi kifo humuumbua.
Soma post vizuri. Ni past tense!Huoni aibu kujitangaza kikojozi?
Utakosa mume usipojiangalia.Soma post vizuri. Ni past tense!
Halafu hata kama ningekuwa bado nakojoa ningejitangaza ili nipate msaada. Mficha maradhi kifo humuumbua.
Mimi sio msichana, mume ninae kitambo.Utakosa mume usipojiangalia.
Basi anavumilia mengi.Mimi sio msichana, mume ninae kitambo.
Ndoa uvumilivu, na mie navumilia yake mengi.Basi anavumilia mengi.
Ila sio kwa suala lako aisee.Ndoa uvumilivu, na mie navumilia yake mengi.
Nakuona ujue... Sio kwa kojo lile mdogo wangu





ujue sitaki kukumbuka yaan nilikua naota naenda kukojoa kumbe nalimwaga woiiii siku ya siku Mama akaniambia kesho ukikojoa nakubeba na godoro lako nakutoa nje watoto wenzieo wakuimbie kindumbwe halaf tunaenda shule na huko ukaimbiwe toka siku huyo sijakojoa tena unafanya mchezo na kuimbiwa na kindumbwe ndumbwe chaliyaWale wanaokuimba kikojooozi nao unakuta wamekojoa kitandani... Utoto raha sanaUmenikumbusha mbali sana mkuu, mimi mwenyewe nimechezea sana kichapo mpaka darasa la tatu na kutishiwa kufungwa chura kiunoni huku nikikimbizwa mtaani na kuimbiwa wimbo wa kikojozi. ila vikojozi wengi siku wakiharibu kitandani unaambiwa waliota ndoto walisimama wakojoe huku washkaji wakiwa wanamsubiria nadhani huu ndiyo ulikua mtego karibu kwa kila kikojozi, hata mimi ilikuaga hivi hivi yaani unaota unakimbia mara moja kichakani kukojoa huku ukisubiriwa na washkaji kumbe ni mtego.
Nilikojoa nikiwa mtoto mpk darasa la sita. Sasa hilo suala linamuathiri vipi sasa hivi mimi nina miaka 40 na sikojoi tena kitandani?Ila sio kwa suala lako aisee.
Hilo halivumiliki kwa kweli.
Aisee.ujue sitaki kukumbuka yaan nilikua naota naenda kukojoa kumbe nalimwaga woiiii siku ya siku Mama akaniambia kesho ukikojoa nakubeba na godoro lako nakutoa nje watoto wenzieo wakuimbie kindumbwe halaf tunaenda shule na huko ukaimbiwe toka siku huyo sijakojoa tena unafanya mchezo na kuimbiwa na kindumbwe ndumbwe chaliya
Naskia huwa inarudi hiyo hata ukubwani.Nilikojoa nikiwa mtoto mpk darasa la sita. Sasa hilo suala linamuathiri vipi sasa hivi mimi nina miaka 40 na sikojoi tena kitandani?
Ni kama sikuelewi vile
Hahahaaaujue sitaki kukumbuka yaan nilikua naota naenda kukojoa kumbe nalimwaga woiiii siku ya siku Mama akaniambia kesho ukikojoa nakubeba na godoro lako nakutoa nje watoto wenzieo wakuimbie kindumbwe halaf tunaenda shule na huko ukaimbiwe toka siku huyo sijakojoa tena unafanya mchezo na kuimbiwa na kindumbwe ndumbwe chaliya
Yule ulomuona paleeeSamakiiiiiiiyupiiiii
Kumbe huna uhakika!!!Naskia huwa inarudi hiyo hata ukubwani.
Yaah,sina uhakika ila nilisikia hivyo.Kumbe huna uhakika!!!
Mm naomba uniache kabisa yaan kama haujaniona msijifanye watakatifu hapa hiyo hali hakuna mtoto yeyote ambaye hajapitia si wa kike wala wa kiumeAisee.
Chaliyaaaaaaaaaaaa watu kumbe wanavimbwanga hivi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kundumbwe ndumbwe hakikukuhusu?
Ulikua ulilala uchi hata wasione mikojo kwenye nguo ulizovaa?ha haha me nilikuwa nakojoa mara moja moja halafu namchukua mdogo wangu alikuwa analala sana namsukumizia kwenye mikojo yangu..akiamka analia mama anampiga ila akirudi ananidunda ,,.. tatizo lingine mimi siyo muongeaji kujitetea sana siwezi na kumpiga siwezi ila dawa yake nilikuwa nasubiria niharibu nimsogeze na sijawahi kukamatwa