Mwinjilist mtume nabii
JF-Expert Member
- Feb 21, 2015
- 2,437
- 1,097
Wachungaji wengi wamekuwa wakitumia haya maneno wanapofungisha ndoa kwamba je,utampenda huyu katika shida na raha? Au je,utampenda katika afya na ugonjwa?
Sasa unajua ndoa ni agano, na ule wakati wa kutamka ndipo mnatengeneza agano.Na pale kwenye ndoa Mungu huwa anakuwepo na shetani anakuwepo pia.
Sasa kila mmoja anachukua yake,na Mungu hawezi kuchukua shida wala ugonjwa, hayo yatachukuliwa na shetani,na hivyo shetani anakuwa amepata kibali cha kuleta shida, ugonjwa, umaskini,nk kwa sababu mmekubali.
Na hapo tayari kunakuwa na mapepo yanakabidhiwa ndoa yenu ili kuleta shida zote katika ndoa yenu.Unajua kwa sababu katika Mungu matarajio yetu ni mema tu hakuna mabaya.
Tunafuta iyo ndoa ya shida,ugonjwa katika ulimwengu wa roho na kisha unaingia katika ndoa ya aman,upendo,furaha,nk.
Na ndio maana hata michepuko kwenye ndoa imeongezeka iyo nayo inaweza kuchangia pia.
Sasa unajua ndoa ni agano, na ule wakati wa kutamka ndipo mnatengeneza agano.Na pale kwenye ndoa Mungu huwa anakuwepo na shetani anakuwepo pia.
Sasa kila mmoja anachukua yake,na Mungu hawezi kuchukua shida wala ugonjwa, hayo yatachukuliwa na shetani,na hivyo shetani anakuwa amepata kibali cha kuleta shida, ugonjwa, umaskini,nk kwa sababu mmekubali.
Na hapo tayari kunakuwa na mapepo yanakabidhiwa ndoa yenu ili kuleta shida zote katika ndoa yenu.Unajua kwa sababu katika Mungu matarajio yetu ni mema tu hakuna mabaya.
Tunafuta iyo ndoa ya shida,ugonjwa katika ulimwengu wa roho na kisha unaingia katika ndoa ya aman,upendo,furaha,nk.
Na ndio maana hata michepuko kwenye ndoa imeongezeka iyo nayo inaweza kuchangia pia.