Yusomwasha
JF-Expert Member
- Dec 5, 2014
- 2,092
- 844
muvi ya merlin naipenda sana wadau ina waigizaji mahiri nadhani ni wakati sasa wabongo kufata nyayo km za wenzetu waigizaji
wa kigeni km kina merlin
wa kigeni km kina merlin
mompome tatizo si ndumba za merlin, ni jinsi ya kuzitumia.
usilogwe kununua movie za kichawi za bongo!! utapoteza hela yako! bado sana.
muvi ya merlin naipenda sana wadau ina waigizaji mahiri nadhani ni wakati sasa wabongo kufata nyayo km za wenzetu waigizaji
wa kigeni km kina merlin
Ubungo
Ubungo mataa
Yaaap pale lazima uipate
kwani si tunaweza kuurasimisha ule uchawi wa ukweli kuufanya wa kisasa na kuupenyeza kwenye bongo muvi?Tena kuna watanzania wachawi kuliko merlin