Kwa waliobobea mambo ya solar

Kwa waliobobea mambo ya solar

Ben Nyoni

Senior Member
Joined
Dec 28, 2014
Posts
115
Reaction score
136
Hivi kama una betri n40 na ukafunga solar panel ya watts 30 je inaweza kuchaji hiyo betri?
 
Hivi kama una betri n40 na ukafunga solar panel ya watts 30 je inaweza kuchaji hiyo betri?
Kuchaji litachaji ila kwa muda mrefu sana so utajikuta ndani ya siku moja linaweza lisijae maana kila mkoa huwa una maximum sun peak hours zake so kwa mfano ukicheki dar es salaam labda jua linaanza kuwa saa nne asubuhi mpaka saa 10 jioni so utaona hapo una 6hours ambapo solar pv panel yako itakuwa inatoa umeme maximum capacity yake.
Kiutaalamu tunasema the charging current should be 10% of the battery Ah so kwa hilo battery lako la N40 ukitafuta 10% yake utaona ni 4Amps so utatakiwa uwe na panel itakayo kupa 4Amps na hiyo ni panel ya 50watts lakini hapo unakuwa umelichukulia hilo battery lako kuwa halina losses(ideal case) lakini during battery charge we take 40% of losses into consideration, so kama unatumia battery la N40 zidisha kwa 1.40 kupata battery capacity with its losses during charging then baada ya hapo jibu utakalo lipata tafuta 10% yake na hicho ndio kitakuwa kiwango cha current kinachotakiwa kulicharge battery lako.ukicha pata hiyo current zidisha mara 12V kupata power ambayo ndio itakuwa panel utayotakiwa kuinunua.
Pia kumbuka type ya panel nayo inachangia katika kulijaza charge battery lako ndani ya muda unaofaa ukinunua panel za ilimradi tuu utajikuta battery halijai, solar pv panels nzuri ni

Monocrystalline na polycrystalline
 
Kuchaji litachaji ila kwa muda mrefu sana so utajikuta ndani ya siku moja linaweza lisijae maana kila mkoa huwa una maximum sun peak hours zake so kwa mfano ukicheki dar es salaam labda jua linaanza kuwa saa nne asubuhi mpaka saa 10 jioni so utaona hapo una 6hours ambapo solar pv panel yako itakuwa inatoa umeme maximum capacity yake.
Kiutaalamu tunasema the charging current should be 10% of the battery Ah so kwa hilo battery lako la N40 ukitafuta 10% yake utaona ni 4Amps so utatakiwa uwe na panel itakayo kupa 4Amps na hiyo ni panel ya 50watts lakini hapo unakuwa umelichukulia hilo battery lako kuwa halina losses(ideal case) lakini during battery charge we take 40% of losses into consideration, so kama unatumia battery la N40 zidisha kwa 1.40 kupata battery capacity with its losses during charging then baada ya hapo jibu utakalo lipata tafuta 10% yake na hicho ndio kitakuwa kiwango cha current kinachotakiwa kulicharge battery lako.ukicha pata hiyo current zidisha mara 12V kupata power ambayo ndio itakuwa panel utayotakiwa kuinunua.
Pia kumbuka type ya panel nayo inachangia katika kulijaza charge battery lako ndani ya muda unaofaa ukinunua panel za ilimradi tuu utajikuta battery halijai, solar pv panels nzuri ni

Monocrystalline na polycrystalline
Nashkuru kwa jibu zuri.
Ni njia ipi nzuri na salama ya kuunga pv. Parallel au series?
 
Nashkuru kwa jibu zuri.
Ni njia ipi nzuri na salama ya kuunga pv. Parallel au series?
Kuunga pv parallel au series kunategemea system voltage.unapounga parallel unaongeza current na unapounga series unaongeza voltage. So unapoongeza current maana yake unaongeza uwezo wakujaza battery charge kwa haraka zaidi.
 
Back
Top Bottom