Hyperkalemia protocol
Member
- Aug 29, 2019
- 99
- 154
Kuna muda unafika baada ya kutokuelewana kwingi kutokea unaona huwezi kabisa kuishi naye hata kama unampenda kiasi gani. Yaani kwa jinsi unavompenda unaona atleast umuache aende angalau labda inaeza kupunguza maumivu.
Usiombe ukutwe na hiyo hali, inauma sana.
Am in
Usiombe ukutwe na hiyo hali, inauma sana.
Am in