kUNA MTU WANGU WA KARIBU YANGU SANA ALIKUFA KWA UKIMWI KWA TABIA HIYO HIYO YA KUMCHEAT WIFE WAKE AKIWA SAFARINI, AKAAMUAMBUKIZA NA WIFE WAKE WOTE NI MAREHEMU SAA HIVI. NDUGU YANGU MKEO NI RAFIKI YAKO CHUNGA SANA KUPIGA KAZI NJE YA NDOA OHOOO
Sidhani kama una mpango wa kufanya ila nachojua ni kuwa umekuja humu kuzingua tu. Km kweli ww ni mtendaji ungeshatenda muda tu. Ushauri wngu ni kuwa jaribu kuwa na mawazo ambayo ni positive zaidi. Jali afya yako mjali na mwenzako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.