kwa walio apply NIT

kwa walio apply NIT

newbiee01

Senior Member
Joined
Jul 21, 2018
Posts
100
Reaction score
23
Kwalio walio apply NIT msaada tafazal nkiwa naaply icho chuo pindi nkijiregistr page ya 1 wanataka niandke applicant type lkn nkiandka ipo chaguo moja diploma mi ntaka becholor cjaelewa au mpka niendele uko mbele ndo lipo au??
 
http://197.149.178.84:8081/OAS/index.php/registration_start
Screenshot_2018-09-08-11-29-37.png
 
Sasa mkuu second selection si wamefunga kwa sasa mpaka tcu watakapofungua upya
 
Kexh c ndo mwisho cjui watakifungua lin xx ije opt ya barchlor
 
nafasi zitakuw zimejaa maana hapo NIT kutoka kweny tcu guidebook inaonysh wanahitaj wanafunzi almost 150 per each program...na ukianglia number of apolicants selected kwa kila kozi inazid hyo idadi...
 
Mkuu kwa hapo kuna vyuo hawarusuhu new applicants kwenye second round...wao wanaruhusu wale applicants Wa first round (walio na account tayari)kubadili machaguo yao tu
 
asaten kwa mchang wen itabid nifanye njia mbadala
 
Jaman.. Msaada kuhusu hiki chuo cha NIT. Mbona wanasisitiza ku-upload vyet.. Halafu mi sioni sehemu ya ku-upload
 
Cheti lazma mimi wakati naomba first round niliweka cheti cha kuzaliwa passport na cheti cha kidato cha nne kama sijakosea
 
Back
Top Bottom