mwanaMtata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2014
- 2,393
- 1,433
Panda daraja mkuu. Japo huku CD na magem Ghali ila kuna raha zake aseeAhaaa..daah ofa nimeikosa mi natumia PS3 na PS2
anhaa..mambo ya mtonyo yakikaa byee nitashift mkuuPanda daraja mkuu. Japo huku CD na magem Ghali ila kuna raha zake asee
Siku hizi kuna mambo yanaitwa exchange mzee unampa mtu hiyo tatu na kahela kadogo anakupa four heheanhaa..mambo ya mtonyo yakikaa byee nitashift mkuu
Ngoja nitajaribu kwa wadau mkuuSkuizi kuna mambo yanaitwa exchange mzee unampa mtu io tatu na kahela kadogo anakupa four hehe
Mimi nainunua leo napata Spider man na needforspeedNani mwenye Xbox one tibadilishane game
Sijui bei za dukani ila naiushauri tafuta ofa nzuri mtaani utapata hata controller mbili na Cd kadhaa.Eti mkuu ps4 na ps3 mpya dukani zinaweza kuwa bei gan sshv..
Asante mkuu..ila ukipata sehemu/mtu yoyote wanapouza hizi mambo naomba uniUpdate kkSijui bei za dukani ila naiushauri tafuta ofa nzuri mtaani utapata hata controller mbili na Cd kadhaa.
Dukani inakuja boxed na controller moja tuu
Kama wewe una pS4 na huna CD ya fifa17 huu ndo muda wako sasa. Ingia Playstation Network na uweze kununua game hilo ambalo kwa sasa liko kenye bei ya promotion. Linauzwa Dola 30 sawa na shilingi kama 65000 za huku.
Nikukumbushe CD ya ps4 ya Fifa 17 inauzwa mpaka 130,000
Hio apo proof. Mimi namalizia taratibu za kupata mastercard nilinunue leo
Pia yapo magem mengine mengi yanauzwa kwa promotion kwa wiki mbili hizi. Wahini wadau.
Kwa wale mnaocheza online mnaweza kuniadd gamer tag yangu ni wizzyquan
Mimi natumia tu Airtel kwa kucheza online mods. Huwa hazili bando kama wengi wanavozania. sana sana usiku maana mchana haya majitu siyaelewi kabsaa.swali langu internet router au modem gani unatumia na gharama zikoje kwa siku
Jaribu kuangalia kama iko kwenye promotionMm nataka street fighter V
Nina Xbox anae taka nimuuzie