issac77
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 2,956
- 4,781
Hivi unapo-boost post au page kwa kutumia credit card unalipia malipo halali kabsa I mean pesa au maana unapojaza ile credt card tayari unakuwa umefungua adsacount na unakuta $$ nyingi kwenye account yako lakini inakuwa siyo pesa kama pesa kabisa. Please nijulisheni wakuu hizo namba namba za dollars kwenye adsacoount kazi yake ni nini.