Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 7,918
- 13,386
Halali au faru??
Biashara kama hizi ndogo ndogo jaribu kufanya mwenyewe; or rather you can involve your wife if possible. Ku-share biashara na stranger mtaishia kudhurumiana tu na kuanza kushitakiana muwape kazi Police wakati hamna mkataba wowote ule.kama kichwa cha habari kinavyo jieleza natafuta business partner kwa ajili ya kuendeleza biashara ya stoo ya Mkaa stoo ipo tayari ila nataka kuiboost iwe kubwa zaidi, stoo ipo sehemu yenye watu wengi hivyo wateja siyo wa kubembeleza tukiwa watatu itapendeza zaidi hata management ya pesa itakuwa nzuri kwa alie tayari na anataka kuiona stoo tuwasiliane 0654352424
nyongeza biashara ya mkaa ni ya uhakika kutoka na faida binafsi napataga wivu napo ona wenzangu wakishusha gunia 100 wakati mm nashusha 10 so that i want to boost it. Nipo dar es salaam
Hii business ni nzuri sana maana kupika ni lazima
wazo zuri sasa hadi zije kufikia mia si leo higher quantity higher profit basi ningepata mkopo ingekuwa vizuri tatizo ni mtaji mdogoBiashara kama hizi ndogo ndogo jaribu kufanya mwenyewe; or rather you can involve your wife if possible. Ku-share biashara na stranger mtaishia kudhurumiana tu na kuanza kushitakiana muwape kazi Police wakati hamna mkataba wowote ule.
Kama unashusha 10 kwa sasa basi fanya bidii ushushe 15, 30, 50 kisha hata zaidi ya 100. Kwenye biashara bila subira hutafika popote.
Nipo Dar nitakutafuta, nina advantage mbili zitakazoweza kutuwezesha, naifahamu hii biashara na nina gari kubwa.kama kichwa cha habari kinavyo jieleza natafuta business partner kwa ajili ya kuendeleza biashara ya stoo ya Mkaa stoo ipo tayari ila nataka kuiboost iwe kubwa zaidi, stoo ipo sehemu yenye watu wengi hivyo wateja siyo wa kubembeleza tukiwa watatu itapendeza zaidi hata management ya pesa itakuwa nzuri kwa alie tayari na anataka kuiona stoo tuwasiliane 0654352424
nyongeza biashara ya mkaa ni ya uhakika kutoka na faida binafsi napataga wivu napo ona wenzangu wakishusha gunia 100 wakati mm nashusha 10 so that i want to boost it. Nipo dar es salaam
Trust me, usitegemee mkopo kabisa, just relax and do on your way. Hatuombei ila kwa mfano umekopa Benki ama kwa mtu, kesho Fuso linaingia mtoni - huna insurance je umefikiri itakuwaje.wazo zuri sasa hadi zije kufikia mia si leo higher quantity higher profit basi ningepata mkopo ingekuwa vizuri tatizo ni mtaji mdogo
hebu elezea japo kidogo biashara ikoje inaendaje mtaji wa kiasi gani ili tujue tunakupigia na kuanzia wpikama kichwa cha habari kinavyo jieleza natafuta business partner kwa ajili ya kuendeleza biashara ya stoo ya Mkaa stoo ipo tayari ila nataka kuiboost iwe kubwa zaidi, stoo ipo sehemu yenye watu wengi hivyo wateja siyo wa kubembeleza tukiwa watatu itapendeza zaidi hata management ya pesa itakuwa nzuri kwa alie tayari na anataka kuiona stoo tuwasiliane 0654352424
nyongeza biashara ya mkaa ni ya uhakika kutoka na faida binafsi napataga wivu napo ona wenzangu wakishusha gunia 100 wakati mm nashusha 10 so that i want to boost it. Nipo dar es salaam
Biashara ya mkaa ni pasua kichwa...kufilisika ni dk 0
vikwazo ni vingi mno...bange afadhali Mara 100
Nashukuru sanaJaribu kuwaulizia wakongwe waliokutangulia utapata ABCs za kuanzia
poa karibuNashukuru sana
Mkuu mkoa gani huo mkaa utoke?Kunahitajika Mkaa gunia 500-700
Kwa bei ya shambani siyo ya middleman.. Wala ya kununulia mjini.. Nataka ukusanywe uko uko unapo chomewa nikauchukue mwenyewe bei ni kati ya 15,000/= mpaka 17,000/= ndio nitakayo inunulia.
uko wap mkuu mimi ninachoWakuu wasalamu
Nina mkaa magunia mia natafuta namna ya kupata kibali cha serikali niweze kusafirisha kama kuna anayejua naomba anisaidie namna ya kupata kibali cha kuupeleka mwanza
Regards
I njoo mwananyamala kuna location nzuriHabarini wakuu
Natafuta sehem ya kufanya biashara ya mkaa hapahapa jijini Dar es salaam isiwe sehemu za kishua sana maeneo ya uswazi nayapa kipaumbele
Mwananyamala ipi mkuu na mbezi ipi?I njoo mwananyamala kuna location nzuri
Pia mbezi kuna location nzuri coz bado wengi hawatumiii Gesi populatio inko juu na watu wanahitaji .... nicheki ukiona vip