Niccolo Machiavelli
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 1,881
- 3,638
Wajameni hapa Ubungo River Side kuna pub sijaielewa.Leo kwenye foleni nimeona kitu cha ajabu sana.Kuna wadada wavemaa nusu uchi wakicheza mziki huku hata watoto wanachek.Pub ipo pembezoni mwa barabara.