afisakipenyo
JF-Expert Member
- Sep 1, 2020
- 561
- 604
brother majina yote wapi sasa em kua specific au mwenzetu una storage kubwa ya kua na majina yote dunianiWadau mwenye link ya majina yote naomba a share hapa mimi ninetafuta sijaona na nili apply
natafuta majina(list) ya walio chaguliwa sioni, natafuta langu sioni I confused now , au ndo sijachaguliwabrother majina yote wapi sasa em kua specific au mwenzetu una storage kubwa ya kua na majina yote duniani
chuo kipi ss mkuu kua specific kama mwanachuo mkuunatafuta majina(list) ya walio chaguliwa sioni, natafuta langu sioni I confused now , au ndo sijachaguliwa
Niliomba lugalo kile cha jeshi kaka, mda huo sikua na pesa boss wangu nilitaka kuomba vitatu vikawa na elfu kumi tu,chuo kipi ss mkuu kua specific kama mwanachuo mkuu
kwa ngazi ya diploma na ni coz ganNiliomba lugalo kile cha jeshi kaka, mda huo sikua na pesa boss wangu nilitaka kuomba vitatu vikawa na elfu kumi tu,
Ndio niliomba co diplomakwa ngazi ya diploma na ni coz gan
sema hapo kuna kua na ushindani mkubwa mnoo na km mpka leo hujaona jina lako kwenye list jua hujapata nikushauri tu we tafuta chuo cha private omba kabla hawajafunga dirisha dogo la usajili la mwisho ni mwezi huu ukishindwa hapo utakaa mpka mwezi wa 3 ukishapata huko km nia yako usome government ukimaliza semester ya kwanza unatafuta government unahamiaNdio niliomba co diploma
Thanks more, ngoja ni fanye mpango huo , ahsante sanasema hapo kuna kua na ushindani mkubwa mnoo na km mpka leo hujaona jina lako kwenye list jua hujapata nikushauri tu we tafuta chuo cha private omba kabla hawajafunga dirisha dogo la usajili la mwisho ni mwezi huu ukishindwa hapo utakaa mpka mwezi wa 3 ukishapata huko km nia yako usome government ukimaliza semester ya kwanza unatafuta government unahamia
Mh!...kama mpaka sasa hujapata information yeyote basi ni majanga..maana majibu yashatoka tokea tarehe 3 mwezi wa 9Niliomba lugalo kile cha jeshi kaka, mda huo sikua na pesa boss wangu nilitaka kuomba vitatu vikawa na elfu kumi tu,
Sijapata let me find to private collegesMh!...kama mpaka sasa hujapata information yeyote basi ni majanga..maana majibu yashatoka tokea tarehe 3 mwezi wa 9
Fanya hivo haraka..dirisha la pili limefunguliwa hadi jumapili ijayo..Sijapata let me find to private colleges
vp mkuu ulisha apply au bado?? tukupe maelekezoSijapata let me find to private colleges
Ebana yaan naingia jf nikupe feedback nakuta msg yako, ebana mi Leo nimewasiliana na chuo cha tabora institute nzega wakataka niwatumie details zangu , nikatuma zote , mda si mlefu wakanitumia msg kuwa nimechaguliwa , so APA wameniambia nitume elfu 30 kwenye no yao ya simu au account ya benk wamenipa ,vp mkuu ulisha apply au bado?? tukupe maelekezo
chuoo kipo toun xo jiandae kupanga tyuu bosiisorry guys ivi mneza nielekeza jins ya kupata hostel nit
Hivi kuna kuwepo mpaka third round au hii second round ndio ya mwishoIpo wameshafungua..
ahaa kumbe shukran bosichuoo kipo toun xo jiandae kupanga tyuu bosii
1st selection au 2ndMimi niliomba NIT Ila mpaka Sasa bila bila..
1st selection au 2nd