talibomtoto
Member
- Nov 15, 2017
- 43
- 18
Kwa wale wataalamu wa madawa nimeenda hospitali kwa tatizo la sikio langu la kulia linalotoa sauti.
Nimepewa dawa mbili:
1. Ampiluclox (hii ni ya vidonge)
2. Boric acid (ni ya maji)
Msaada tafadhali dawa hizi zinafaa au la?
Nimepewa dawa mbili:
1. Ampiluclox (hii ni ya vidonge)
2. Boric acid (ni ya maji)
Msaada tafadhali dawa hizi zinafaa au la?