Kwa wale wanaopapata DIT

Kwa wale wanaopapata DIT

mishe bwoy

Senior Member
Joined
Oct 26, 2014
Posts
116
Reaction score
34
Natarajia kumaliza Form 6 keshokutwa mwez wa tano na ningependa kujua kama DIT kuna faculty ya Information nad tecnology kwan ndio malengo yangu kusomea na nimeenda kwenye website yao cjaona hiyo facult.

Ila kuna mtu aliniambia ipo pale wanafundisha jadi Degree...ninivosikia DIT ukitoka pale upo Deep mbaya tofauti na vyuo vingine....na naomba ushauri kwa uamuzi wangu wa kusoma IT.
 
Ni kweli kaka ukisoma DIT ada yako haiendi bure,ila pole pale hakuna IT kwa level ya degree,ila IT Fundis ambayo ni diploma kwa miaka 3!,ila coz za engineering tu ndo mpaka degree na unakua deep mbayaaa kuliko hata hao wanaozuga wanasoma engineering kuleeeee haahahhaha
 
Ni kweli kaka ukisoma DIT ada yako haiendi bure,ila pole pale hakuna IT kwa level ya degree,ila IT Fundis ambayo ni diploma kwa miaka 3!,ila coz za engineering tu ndo mpaka degree na unakua deep mbayaaa kuliko hata hao wanaozuga wanasoma engineering kuleeeee haahahhaha

Kule wapi taja majina kama unajiamini,acha mafumbo.Sema kama ni COET au Informatics tukupinge kwa hoja.
 
Mkuu Hali ya uchumi home ikoje? Kama ni kajambanani Soma civil,mecha au electrical Degree level utapata kazi kirahsi then master unafanya Computer science , IT ni nyemba mbamba mno ktk soko la ajira kama una wakukushika mkono Nenda hio IT
 
Back
Top Bottom