Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,992
- 31,695
Kuna gari imeziba barabara maeneo ya mpakani mwa mkoa wa songwe na mbeya
Hii ni taarifa kwa watu wanao tumia hiyo barabara kama unaona hili halina maana kwako basi subiri watumiaji wajekwa hiyo sisi wa jf tufanyeje?
Kama mna mpango wa kupita eneo hilo mbadilishe mwelekeokwa hiyo sisi wa jf tufanyeje?
Nashukuru kwa kumwelewesha mkuuKama mna mpango wa kupita eneo hilo mbadilishe mwelekeo
Weka picha tuone hali ilivyo.Kama mna mpango wa kupita eneo hilo mbadilishe mwelekeo
Weka picha ili tuone hali halisi.Hii ni taarifa kwa watu wanao tumia hiyo barabara kama unaona hili halina maana kwako basi subiri watumiaji waje
Mkuu mi Sina picha ila nimepita maeneo hayo nilitoka tundumaWeka picha ili tuone hali halisi.
La sivyo utaonekana ni uzushi.
Uelekeo gani tena kwani Kuna njia nyingine inayo elekea tunduma tofauti na hiyo mkuu??Kama mna mpango wa kupita eneo hilo mbadilishe mwelekeo
Lilifeli brek kwenye sehemu inaitwa Nanyala alivyo fika hayo maeneo kuna mrima gari ikashindwa kupanda nakuanza kurudi nyuma dereva akafanya maamzi kabla haijachanganya akaikata sabaLimepatA ajali au kaka wa majambaz ameisha fanya mambo?
Kwa gari ni njia moja mkuuUelekeo gani tena kwani Kuna njia nyingine inayo elekea tunduma tofauti na hiyo mkuu??
Mkuu ni gari gani hiyo? Tafadhali kama hutajali nisaidie kampuni.Lilifeli brek kwenye sehemu inaitwa Nanyala alivyo fika hayo maeneo kuna mrima gari ikashindwa kupanda nakuanza kurudi nyuma dereva akafanya maamzi kabla haijachanganya akaikata saba
Asante mkuu hapo nimeona wasafiri wa kwenda sumbawanga wameshindwa kwenda inawalazimu kulalaMBEYA poleni sana
Nimeshindwa kupata jina la kampuni maana nimepita wakati kuna gizaMkuu ni gari gani hiyo? Tafadhali kama hutajali nisaidie kampuni.
Ok sawa mkuu. Ni Lori?Nimeshindwa kupata jina la kampuni maana nimepita wakati kuna giza