Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 8,466
- 6,511
Mwambie huyo rafiki yako ajipange upya.
wewe umeoa kama huyo?! katika situation kama.hio..?! hatukatai mapungufu ..je mapungufu ya kutembea nje ya ulie nae ni ya kuvumilia kweli?, hao wengine kama wana ukimwi, kisonono, kaswende, kwaio aendelee nae tu sio?!Hakuna alie mkamilifu. Oa
eti security ! ku cheat siku hizi mnaita securityMpe pole,lakini nafikiri anaweza kumpa second chance uyo msichana..huenda alijiengage na hao wanaume for security sababu aliona yeye(mwenye stori) haeleweki.
Wanawake wana iyo tabia sana ya kuseek security hasa wakiisi wataachwa..na icho kilanga cha kuinstall spy application sio mpango
Aongee nae amsikilize.l na yeye bibi harusi mtarajiwa anasemaje.
Kwanini ushindwe kutoa taarifa mkuu?Mimi mwanamkke wangu alicheet na akakiri kosa.niliyafikisha kwao na nipo nae.siku nikiona bado anavidalili tuu vya kuendelea na tabia hiyo hata nisipohakikisha anaondoka mazima.simuheshimu tena kama mwanzo..Thanks mkuu, nitalifanyia kazi hilo, ila nawaza nitaanza vipi kutoa taarifa?? au nikae kimya tu?
Pole na majukumu
Ngoja nisubiri
umesahau kumalizia na empty setwewe umeoa kama huyo?! katika situation kama.hio..?! hatukatai mapungufu ..je mapungufu ya kutembea nje ya ulie nae ni ya kuvumilia kweli?, hao wengine kama wana ukimwi, kisonono, kaswende, kwaio aendelee nae tu sio?!
Kiongozi umemaliza kila kitu, aisee!!!Kwanza pole sana;
Pili unapotaka kuo mwanamke isipokuwa kwa sababu za kiufundi usikae nae katika uhusiano kwa muda mrefu sana.Sababu za kiufundi ni kama vile masomo,umbali,muda mchache wa kuonana na vitu kama hivyo.Pili kama mwanaume unatakiwa uhakikishe kuwa unapoamua kumuoa binti basi uwe una taarifa kamili na cha muhimu sio mahari,wala ndoa ya kikiristu wala hizo mambo za spy app.Cha muhimu ni utayari wa huyo binti pamoja na wewe kukaa pamoja na kuyajenga.
Mimi binafsi napenda zaidi kufanya test drive,yaani kama mwanamke anataka ndoa na mimi basi anakuja tunaishi tunatibuana tunajuana kisha katikati hapo nikiona ulazima basi natangaza ndoa tunalipa mahai pamoja na faini.Mwanamke akiniletea habari za ooh uzinzi oo ndoa kwanza ooo sijui vijikanuni vingi basi ujue huyo hakufai.Wanawake ambao wanamasharti mengi kwako basi ujue hawajafall vizuri yani inshort ni kwamba haqjakupenda vizuri ndo maana anaweza kukupa masharti.
Sasa ndugu umeshalipa mahari,kwa mila za kwetu huyo sasa ni mkeo,kwa kuwa umeona hizo tabia za ajabu kwanza mchane live ajue unajua kisha mwambie sasa hufungi ndoa ya shela na kahaba na kwamba inabidi aje kwako muyajenge,ukae nae umle mpaka akuzalie mtoto mmoja ukiona kama anafaa bado basi nenda naye altareni ukiona bado hajawa na utulivu basi utajua cha kufanya.Ili NAKUONYA USIENDE MADHABAHUNI NA MTU AMBAYE HUMUAMINI
huo muendelezo wa sehemu ya 3 mbona sijauona bossnimeshaweka muendelezo mkuu
Kwenye sehem ya pili,kaendelezea hapo hapohuo muendelezo wa sehemu ya 3 mbona sijauona boss
ukisema hivyo unakosea, huwezi oa tu ili ujulikane eti kuwa una mke, ndoa inapaswa kuheshimiwaWewe siyo muowaji, wenzio tumeowa mengine tunamuachia Mungu, mimi hata simu ya mke wangu sigusi.
Haya maisha yalivyopinda badi nijitwishe na stress za mke? Hapana kwakweli.
Mimi buashara ya kumchunguza mwanamke sifanyi.
Jiassess ulipungua wapi hadi akacheatKwanini ushindwe kutoa taarifa mkuu?Mimi mwanamkke wangu alicheet na akakiri kosa.niliyafikisha kwao na nipo nae.siku nikiona bado anavidalili tuu vya kuendelea na tabia hiyo hata nisipohakikisha anaondoka mazima.simuheshimu tena kama mwanzo..
Ataenda wapi ndg yangu?wanawake wengi ndio tabia hizo siku hiziDalili ya mvua ni mawingu..achana nae kabla haijawa too late..asisingizie ulinzi ikiwa hyo ndio hulka yake
aiseeee""" huku una Cheka "" huku uwe unajifunza pia ""Hahaha mwanamke wako alikua wa kishua eee,hapiki mwaka mzima
asante mkuu,,, hahahaaa, ukinipa wako wewe je!Naidhamin nafsi yangu kuliko maoni ya walio nje ya NAFSI yangu..hususan ktk mahusiano na bajet, kwa hapo maharu nikitu kidogo kuliko aman ya uhai wako ndan ya ndoa, huyo mke ana matatizo mengi kwa mujib wa tamthilia hiyo, huwez kuwa na spare kisa muda wangu hauendani na wako, muruhusu aende kwa hao Wengine...njoo nikupe dem wangu hana tatizo lolote..tatizo liko kwa SITAKI KUOA..
ndio nilienda kufuatilia, ili niielewe vizuri nilianza kuji spy mimi mwenyewe, nilipoielewa vizuri ndio nikaanza kum spy yeyedadeq kumbe ulikwenda kuitumia kweli ile app ...hahaaaaa
Jolie Jolie. mtoa mada anafaa kuwa mentor wangu ..."" usiniulize kwnni pls
Nitafunga mapema tuwe woteNdo hapo sasa wangu..maisha yenyewe haya yanahitaji utamu utamu namaraha raha yaan mahaba mahaba tuuu
Alafu Mima ,,, siwezi kungoja tena ,nakuitaji.leo usiku mama mvua nataka tusikilize makelele ya mvua pamoja.